Leo asubuhi nimetokea mabatini ninapoishi na kuja igogo..nilipokaribia maeneo ya uwanja wa mchafukoga nikaona gari na watu wengi wapo hapo uwanjani...nikahisi ni ile ishu ya MACHINGA.
Nikaamua kusogea ili nijiridhishe.kumbe kweli vitu vingi vya machinga vinatupwa hapo chini ya ulinzi wa Polisi na mgambo.kwa hiyo nikaona ngoja kwanza nichukuwe picha ndipo nije hapa niandike nikiwa na ushahidi wa picha.
Nilipochukuwa picha ya tatu ghafla askari akaniona na kunikimbiza...nikaona isiwe shida bora anikamate kwani naweza itwa mwizi.
Aliponikamata mgambo wakaja na kunipiga mikanda huku simu wamechukuwa.. Baadaye nikapandishwa kwenye gari na kupigwa mikanda...kama sikosei jina la polisi liliandikwa.Alexidilia ila sina uhakika kama nimelipatia.
Baada ya gari kuanza kuondoka nikaanza kuwambembeleza sana waniachie. Askari akaniomba rushwa ya sh.50000. Nikawaambia Nina shi.8000.wakadharau sana na safari ya kuelekea Polisi ikaanza huku nikielezwa kuwa mimi ni chadema na nimetumwa.. Dreva akaniambia hiyo kazi wao wametumwa na Maghufuli kwa hiyo watanionesha kazi
Kufanya story fupi nilipofika Pepsi wakawa wameniachia ila tayari mikanda nimekula.
Slowly... True anasema aliambiwa na Dereva....inside the scenarioAcheni kumsingizia Rais kwa vitu vinavyofanywa chini.
Acheni kutunga habari ili mradi tu iwe na bad image kwa Rais basi ndiyo furaha yako.
Hapo Mwanza kuna Serikali kamili na taratibu zake ktk kutekeleza majukumu yake.
Mwacheni Rais afanye mambo ya msingi ya nchi.
Naona sasa kila maana JF akijisikia tu kumsema Rais bila sababu yoyote Anafanya na hata credibility ya JF inazidi kufa kila siku
Mwisho JF utakuwa mtandao wa wambaye tu maana hakuna Facts
Weka picha unatandikwa na mgambo mkuu,la sivyo ni uwongo na umbeya!Leo asubuhi nimetokea mabatini ninapoishi na kuja igogo..nilipokaribia maeneo ya uwanja wa mchafukoga nikaona gari na watu wengi wapo hapo uwanjani...nikahisi ni ile ishu ya MACHINGA.
Nikaamua kusogea ili nijiridhishe.kumbe kweli vitu vingi vya machinga vinatupwa hapo chini ya ulinzi wa Polisi na mgambo.kwa hiyo nikaona ngoja kwanza nichukuwe picha ndipo nije hapa niandike nikiwa na ushahidi wa picha.
Nilipochukuwa picha ya tatu ghafla askari akaniona na kunikimbiza...nikaona isiwe shida bora anikamate kwani naweza itwa mwizi.
Aliponikamata mgambo wakaja na kunipiga mikanda huku simu wamechukuwa.. Baadaye nikapandishwa kwenye gari na kupigwa mikanda...kama sikosei jina la polisi liliandikwa.Alexidilia ila sina uhakika kama nimelipatia.
Baada ya gari kuanza kuondoka nikaanza kuwambembeleza sana waniachie. Askari akaniomba rushwa ya sh.50000. Nikawaambia Nina shi.8000.wakadharau sana na safari ya kuelekea Polisi ikaanza huku nikielezwa kuwa mimi ni chadema na nimetumwa.. Dreva akaniambia hiyo kazi wao wametumwa na Maghufuli kwa hiyo watanionesha kazi
Kufanya story fupi nilipofika Pepsi wakawa wameniachia ila tayari mikanda nimekula.
Mkuu, watu walioko chini ya Rais, wakifanya vizuri anasifiwa Rais, wakivurunda, anapondwa Rais.Acheni kumsingizia Rais kwa vitu vinavyofanywa chini.
Acheni kutunga habari ili mradi tu iwe na bad image kwa Rais basi ndiyo furaha yako.
Hapo Mwanza kuna Serikali kamili na taratibu zake ktk kutekeleza majukumu yake.
Mwacheni Rais afanye mambo ya msingi ya nchi.
Naona sasa kila maana JF akijisikia tu kumsema Rais bila sababu yoyote Anafanya na hata credibility ya JF inazidi kufa kila siku
Mwisho JF utakuwa mtandao wa wambaye tu maana hakuna Facts
OK nimekuelewa.But mtoa mada anadai kilichotokea Mwanza ni maagizo ya Rais Magufuli ndiyo nimesema tuacha kumsingizia Rais kwa kila jambo linalofanywa chini kuwa ni Rais ameagiza wakati kila sehemu kuna mamlaka za uongozi.Mkuu, watu walioko chini ya Rais, wakifanya vizuri anasifiwa Rais, wakivurunda, anapondwa Rais.
Anapofurahia kushangiliwa/kusifiwa asikasirike kupondwa/kukosolewa kutokana ma matendo ya watu walioko chini yake.
Leo asubuhi nimetokea mabatini ninapoishi na kuja igogo..nilipokaribia maeneo ya uwanja wa mchafukoga nikaona gari na watu wengi wapo hapo uwanjani...nikahisi ni ile ishu ya MACHINGA.
Nikaamua kusogea ili nijiridhishe.kumbe kweli vitu vingi vya machinga vinatupwa hapo chini ya ulinzi wa Polisi na mgambo.kwa hiyo nikaona ngoja kwanza nichukuwe picha ndipo nije hapa niandike nikiwa na ushahidi wa picha.
Nilipochukuwa picha ya tatu ghafla askari akaniona na kunikimbiza...nikaona isiwe shida bora anikamate kwani naweza itwa mwizi.
Aliponikamata mgambo wakaja na kunipiga mikanda huku simu wamechukuwa.. Baadaye nikapandishwa kwenye gari na kupigwa mikanda...kama sikosei jina la polisi liliandikwa.Alexidilia ila sina uhakika kama nimelipatia.
Baada ya gari kuanza kuondoka nikaanza kuwambembeleza sana waniachie. Askari akaniomba rushwa ya sh.50000. Nikawaambia Nina shi.8000.wakadharau sana na safari ya kuelekea Polisi ikaanza huku nikielezwa kuwa mimi ni chadema na nimetumwa.. Dreva akaniambia hiyo kazi wao wametumwa na Maghufuli kwa hiyo watanionesha kazi
Kufanya story fupi nilipofika Pepsi wakawa wameniachia ila tayari mikanda nimekula.
Sawa mkuu. Yawezekana pia hao watendaji ndo wanaomsingizia Rais kwa sababu mambo mengi yanafanywa kwa maagizo badala ya sheria. Mfano:OK nimekuelewa.But mtoa mada anadai kilichotokea Mwanza ni maagizo ya Rais Magufuli ndiyo nimesema tuacha kumsingizia Rais kwa kila jambo linalofanywa chini kuwa ni Rais ameagiza wakati kila sehemu kuna mamlaka za uongozi.
Weka picha ukiwa unapigwa.....na ukome ndio nyie hata ikitokea ajali mnakimbilia kupiga picha badala ya kutoa msaada.....Leo asubuhi nimetokea mabatini ninapoishi na kuja igogo..nilipokaribia maeneo ya uwanja wa mchafukoga nikaona gari na watu wengi wapo hapo uwanjani...nikahisi ni ile ishu ya MACHINGA.
Nikaamua kusogea ili nijiridhishe.kumbe kweli vitu vingi vya machinga vinatupwa hapo chini ya ulinzi wa Polisi na mgambo.kwa hiyo nikaona ngoja kwanza nichukuwe picha ndipo nije hapa niandike nikiwa na ushahidi wa picha.
Nilipochukuwa picha ya tatu ghafla askari akaniona na kunikimbiza...nikaona isiwe shida bora anikamate kwani naweza itwa mwizi.
Aliponikamata mgambo wakaja na kunipiga mikanda huku simu wamechukuwa.. Baadaye nikapandishwa kwenye gari na kupigwa mikanda...kama sikosei jina la polisi liliandikwa.Alexidilia ila sina uhakika kama nimelipatia.
Baada ya gari kuanza kuondoka nikaanza kuwambembeleza sana waniachie. Askari akaniomba rushwa ya sh.50000. Nikawaambia Nina shi.8000.wakadharau sana na safari ya kuelekea Polisi ikaanza huku nikielezwa kuwa mimi ni chadema na nimetumwa.. Dreva akaniambia hiyo kazi wao wametumwa na Maghufuli kwa hiyo watanionesha kazi
Kufanya story fupi nilipofika Pepsi wakawa wameniachia ila tayari mikanda nimekula.