Namkumbuka Husninyo
Nimemkumbuka mama yangu bana........ alifariki mwezi kama huu miaka 29 iliyopita..............
yeah nilishapoa na kusahau, ila leo nimekumbuka huu wimbo, alikuwa ananifundisha nilipokuwa mdogo, mama yangu alikuwa ni mwalimu wa Elimu ya watu wazima enzi hizo................Good memory eh!