ndugu zangu wanajf, naomba nijitambulishe zaidi kwenu,
mimi ndiye paul andrew maganga.
Shule ya msingi nimesoma nseda katika kata ya nseda tarafa ya urambo.1992-1998
urambo sekondari 1999-2002
mkwawa high school 2003-2005
university of dar es salaam 2005-2008.bsc with educ.
University of arusha 2011-2013 ma in education management and leadership.
Baada yakutoka udsm, niliajiriwa edmund rice sinon high school arusha kama mwalimu wa kemia form six 2008-2011
nikaenda serikalini kinana sekondary hapahapa arusha.
Nikachukua mkopo ili nisome masters degree nanilifanikiwa.
Kwasasa nafundisha losirway sekondary, nimehamishwa shule 3 tangu 2011 kisa kuzuia wezi namafisadi.
Nilijua mimi siwezi kuwa mwalimu bali kutumikia jamii kubwa ya watanzania kwanafasi kama ubunge tangu 2008, ilikuwa niende 2010 urambo lakini nikawa sijajipanga sawasawa.
Sasa nikitokea arusha niko fit kuliko sitta anavyonichukulia. Siendi urambo kushindania ubunge, mimi nasubiri tarehe yakuapishwa, kwani tangu 2011 nilianza kazi urambo mashariki.
Na wiki ijayo naelekea urambo jimboni kwangu kumalizia kazi yangu kwaziara ya jimbo zima.nimeshaandika barua za kuacha kazi mazima, sio kuomba ruhusa bila malipo, nimeacha maana nitakuwa mbunge baada ya hapa, sina hofu.
Kwa wenye mapenzi mema yakubisaidia, contacts zangu hizi hapa, nitashukuru kwa mchango wako wowote.
Maganga14@ yahoo.co.uk
+255754852015
+255712550924.
Mungu awabariki watanzania wote kwa kuniombea.
Paul andrew maganga.
samwel ntakamulenga anagombea wapi,niliwahi kusikia urambo. Labda kama kuna majimbo mawili. Si mzoefu huko