Nimejiunga nae ntafanyaje?

Pdidy ulichosema hapo juu ni cha ukweli kabisa, watu wengi waingia kwenye ndoa wakifikiri watambadilisha partner wao na mwisho wao wanakuwa frustrated tu....wahenga walisema ukipenda ua penda na mti wake!
 
Kuna hobby nyingine hazigezeki kama kushinda bar mpaka late hours. Ukigeza basi watoto watapotea.
 
Kuna hobby nyingine hazigezeki kama kushinda bar mpaka late hours. Ukigeza basi watoto watapotea.
<br />
<br />
kweli aisee, zingine inabidi kufanya juu chini kuzirekebisha au kutokubali kuingia kwenye ndoa kama unahisi hazirekebishiki.
 
<br />
<br />
Ni mpira upi unaouzungumzia wewe? Ni huu wa futiboli ama kuna tafsida imetumika? Coz wengine CHABO huita mpira. Anyway kama ni kuhusu soka Mwanamke/Mke wa James kafanya vyema kujiunga coz ndege wenye mabawa ya kufanana huruka pamoja, sitegemei kusikia maugomvi ugomvi kwao tena coz itikadi yao kwa sasa ni moja. HOFU YANGU ni kwa huyu Mrs, james, je ataweza kumanage ratiba yake vilivyo? Je ataplay role yake kama mama wa nyumbani vilivyo?

Kama ni mpira wa Chabo kina Mr. ChweChwe wataweka mambo sana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Ni mpira upi unaouzungumzia wewe? Ni huu wa futiboli ama kuna tafsida imetumika? Coz wengine CHABO huita mpira. Anyway kama ni kuhusu soka Mwanamke/Mke wa James kafanya vyema kujiunga coz ndege wenye mabawa ya kufanana huruka pamoja, sitegemei kusikia maugomvi ugomvi kwao tena coz itikadi yao kwa sasa ni moja. HOFU YANGU ni kwa huyu Mrs, james, je ataweza kumanage ratiba yake vilivyo? Je ataplay role yake kama mama wa nyumbani vilivyo? <br />
<br />
Kama ni mpira wa Chabo kina Mr. ChweChwe wataweka mambo sana!
Halafu raha y chabo umpige mkeo wakati anaoga weeeee!
 
"james ni mshabiki w atheno na yanga" .......bora amckilize 2 mkewe mana anajiongezea 2 stree ziczokuwa z lazima.
 
...hiyo ndio ilikuwa dawa sahihi ila sijui akiwa mshabiki mkali kuliko mumewe huko mbele itakuwaje?
 
ili mahusiano yao yawe na changamoto mama inabidi awe Man U 8 bila sio mchezo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom