Asante sanaaKaribu uendelee kufurahia na kujifunza yaliyomo humu JF kwetu
Wakubwa shikamooniTo a heshima kwa wakubwa zako maana ndo kwanza new member
soonMosha unakwama wapi? weka picha.
Thanks muchKaribu JF, the only place where we used to talk openly. Things are no longer the same
Asante MkuuKaribu mkuu
Picha zenye ukubwa kuzidi za passport ameleta?
Tutakuongezea ucjalialafu ndo kwanza 2020 bado
Hakika saiv nimekua addicted kabisaMkubwa ni hivi ..Jf ndo best social media app ..kwa watu wanaopenda kujifunza...
Asante sana mkuuKaribu sana
Hapana ni chama cha watu wote ndio maana kwenye mgawanyo wa madaraka viongozi mbali mbali sio wachaga mfano Antipas Lissu, Mnyika na wengineNakuuliza swali kuna vimbwenga vinadai chadema ni ya wachaga ni kweli ? Mimi ni muha wa kigoma kwa sasa niko GREEN CITY MBEYA