Chris Lukosi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 4,581
- 2,937
Ndugu zanguni,
Baada ya kusikia jamaa zangu ambao ni wabunifu wazuri wa miradi ya kukusanya fedha kuwa wamekuja na singo mpya iitwayo PAMOJA DAIMA. Mimi kama Kamanda mstaafu, Kwa moyo mkunjufu nimeamua kujitolea kubeba ndoo ya michango wakati wa mikutano hasa ya Mbowe na Lema kama ishara ya kuwaunga mkono makamanda.
Ni mategemeo yangu kuwa uamuzi huu wa busara utaungwa mkono kwa nguvu zote na wengi na hata mbulumundu wetu wa hapa jamvini watanipongeza
SIO VYEMA KUWAACHIA VIONGOZI WA CHAMA KAZI HII NGUMU YA KUKUSANYA FWEDHA KWA MANDOO NA MABOKSI.
Ninawaahidi kutumia uzoefu wangu wa kubeba maboksi kwenye hii shughuli, hata ndoo ikijaa vipi nitanyopa tu, wengi mnaijua CV yangu kwenye fani ya maboksi.
JITAMBUE!
Baada ya kusikia jamaa zangu ambao ni wabunifu wazuri wa miradi ya kukusanya fedha kuwa wamekuja na singo mpya iitwayo PAMOJA DAIMA. Mimi kama Kamanda mstaafu, Kwa moyo mkunjufu nimeamua kujitolea kubeba ndoo ya michango wakati wa mikutano hasa ya Mbowe na Lema kama ishara ya kuwaunga mkono makamanda.
Ni mategemeo yangu kuwa uamuzi huu wa busara utaungwa mkono kwa nguvu zote na wengi na hata mbulumundu wetu wa hapa jamvini watanipongeza
SIO VYEMA KUWAACHIA VIONGOZI WA CHAMA KAZI HII NGUMU YA KUKUSANYA FWEDHA KWA MANDOO NA MABOKSI.
Ninawaahidi kutumia uzoefu wangu wa kubeba maboksi kwenye hii shughuli, hata ndoo ikijaa vipi nitanyopa tu, wengi mnaijua CV yangu kwenye fani ya maboksi.
JITAMBUE!