skendo
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 212
- 101
Habari zenu wana jamvi nimekua nikimfatilia kwa makini sana huyu kijana Nape na amekua akilopoka sana sasa mimi nimeamua kushindana nae kwa hoja ila kwakua sikuzote napenda kua mtu makini kwakila nilifanyalo ningependa vita hii ianzie hapa.kwakua huyu jamaa ametuma watu wake wengi sana katika ili jamvi kiasi kwamba wamekua wakituaribia mada zetu sasa kwakuanza nakuomba wewe mwana jamvi uandike jina moja ama zaidi la mtu unayedhani ni mmoja ya mamluki wa huyu jamaa umu jamvini kisha tukisha wajua hawa mamluki nitaelekeza atua inayofuata na tukiungana katika hili naamini kabisa watakimbia wenyewe na hii tutawatoa mpaka wale aliowatuma ata kwenye facebook.KUMBUKA UNACHOTAKIWA NI KUANDIKA JINA TU LA MTU UNAE MWONA UCHANGIAJI WAKE WA MADA AMA MADA ZAKE ZIMEKAA KINAPENAPE.Nia ya kuwashinda tunayo,Uwezo wakuwashinda tunao,na Nguvu ya kuwashinda tunayo.