Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,565
- 47,011
Nakuelewa sana chief, get urself together anza kuwaza maisha ya kwako na mtoto, Mungu atasimama na wewe, utakuja niambia siku moja huyo mwanamke atapitia mapito Mungu acheleweshi adhabu...Thank You Bro! At Least Kuna Wanaume Wanaonielewa Kwanini Napitia Yote Haya Na Nimekua Nikipambana Still!!
Atajuta na hutakua na ule moyo tena, ushauri ni hivi unajua kwa kuwa umefanya kila liwezekanalo umeshindwa umetumia nguvu zote umempenda bila ubaguzi sasa usilie wala kunung'unika maana you did everything.. Its time u wake up na kusonga mbele trust me utaishi maisha mazuri sana