Mu7
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 1,560
- 1,821
Hapana. Huko ndio ataharibu kabisa.Mkuu kama hujawahi enda kwa mganga fanya hii iwe mara ya kwanza...
Hapana. Huko ndio ataharibu kabisa.Mkuu kama hujawahi enda kwa mganga fanya hii iwe mara ya kwanza...
Sio rahisi kama hivyo.Ama kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
Pole sana..achana nae fanya yako.
Mwambie anaendelee kun'gan'gana yajayo yamfurahisheSio rahisi kama hivyo.
Aiseh hata kama ni kupenda lazima kuwa na mipaka, sio kisa kumpenda mtu basi ndio ufikie level ya kunyanyasika kama huyu jamaa.Hujakosea mkuu! Itategemea na moyo utakavyokuwa umemdondokea.
Jamaa anajua kupenda Sana...mwanaume akikupenda anakujali waweza hisi duniani mpo wawili tu😀😀Pole sana mkuu! Huyo dada ipo siku atakukumbuka na kujutia makosa yake! Endelea tu na maisha yako utampata mwingine mwema. Inaonekana unajua kupenda na kujali wewe hadi raha😜
Aiseh hata kama ni kupenda lazima kuwa na mipaka, sio kisa kumpenda mtu basi ndio ufikie level ya kunyanyasika kama huyu jamaa.
Kukaa karibu na moto wakati mwingine sio kuota bali ni kujiunguza, unajua mpaka Mungu anatupa sisi binadamu akili akawaacha viumbe wengine basi pia ni ili tuweze kuzitumia katika mambo kama haya ndio maana hata bibilia inasema wanaume tuishi na wanawake kwa akili, unadhani kwanini haikusema upendo peke yake ikaongeza na akili..
Unaweza kulazimisha mambo mengine lakini ni ngumu sana kulazimisha upendo, ni ngumu sana kumlazimisha mtu fulani akupende ni ngumu sanaaaa,, hivyo ni bora kukubali matokeo haijalishi yanaumiza kiasi gani ni heri kuliko kuendelea kujiumiza kwa mtu ambaye hana habari na wewe.
Usitunie mfano wa Samson Mana alikuwa stupid why I force kitu kisicho reciprocate, maana mtu anajipeleka kwenye uharibifu why asi invest kwenye vitu vya msingi kuliko kuhangaika na kufuraishaMapenzi ulevi eti mapenzi ni uteja,
Nakukumbusha tu Samson na nguvu zake zote za kuua simba kwa mikono lakini alinasa kwenye mikono ya delila, shida kila mtu anajiona jamaa ni kawa weak sana kitu ambacho sio yani, sifa kuu ya MWANAUME ni udhaifu kwenye MAPENZI unashangaa nini sasa, mtu unajifanya gangster kifala kwasababu gani inachekesha sana, tumshauri kwa kumpa matumaini mapya
Mkuu trust me achana na huyo mwanamke yani sitaki kusema mengi lakini situation yako imetofautiana kidogo nilichowahi kukipitia. Ukiendelea anaye utakuwa unafight kumfurahisha yeye wewe hutoendelea lakini hata juhudi zako hatokaa azione hata siku moja. Atakuwa anafurahia unachomfanyia kwa muda huo ila ikipita hata dakika 30 anasahau kama vile hujawahi mfanyia chochote.Nimekuwa Kwenye Mahusiano Na Huyu Binti Kwa Miaka 6 sasa! tumebahatika kupata Mtoto mmoja! ila hatujaoana. Kwa Sasa Yeye anaishi Dar Mimi niko kikazi Mikoa ya kaskazini! Mwanzo Nilianza Kufuata Taratibu za kumuoa nikatoa mpaka posa kwao tatizo likaja kwenye kikwazo cha dini! ikabidi tuweke pozi kwanza tufanye maisha mengine.
Kwenye Process za kupambana na Maisha Kuna Wakati tulitofautiana ikafanya akapata nafasi akawa anadate na mshkaji flani mfanyabiashara wa maeneo flani around Sinza Hapo. Niliumia ila kwa ajili nampenda sana na sikutaka mustakabali wa maisha yetu,mahusiano na malezi ya mtoto yawe magumu niliamua kujishusha nikamwomba msamaha na kumwahidi kumpangia sehemu nzuri na kumnunulia vitu vyote vya muhimu kwa ajili ya Maisha. Kipindi Hiki hakua na kazi so ilibidi nimchukue mtoto kumleta Dar akaja kukaa nae huku mimi nikijitahidi kila wiki kuja Dar kwa ajili yao. Maisha Yetu Yalirudi Kawaida yakawa Poa na Hata mawasiliano na yule mshkaji niliona yamepungua Kabisa Though Jamaa Nilikamata Mara Kadhaa Txt Zake Akiwa Anamsumbua warudiane akimshawishi kwa kumtumia hela alivyoweza .Lakini Mara Zote alikuwa akinionyesha hata the way alikua anamkataa jamaa nikazidi kumuamini. Nikajua Sasa ni kufanya Maisha na kujipanga kwa ajili ya future yetu,nikaanza kuhangaika kumtafutia kazi ili tu asije pata vishawishi huku nikiendelea kumtunza yeye na mtoto kwa kadiri nilivyoweza.
Hadi raha wakati mwenzako anatesekaPole sana mkuu! Huyo dada ipo siku atakukumbuka na kujutia makosa yake! Endelea tu na maisha yako utampata mwingine mwema. Inaonekana unajua kupenda na kujali wewe hadi raha
Ingekua mm mbona zamani tu nishamaliza, siwezitoa Hv kwa mtu ambae hanitakiNimekuwa Kwenye Mahusiano Na Huyu Binti Kwa Miaka 6 sasa! tumebahatika kupata Mtoto mmoja! ila hatujaoana. Kwa Sasa Yeye anaishi Dar Mimi niko kikazi Mikoa ya kaskazini! Mwanzo Nilianza Kufuata Taratibu za kumuoa nikatoa mpaka posa kwao tatizo likaja kwenye kikwazo cha dini! ikabidi tuweke pozi kwanza tufanye maisha mengine.
Kwenye Process za kupambana na Maisha Kuna Wakati tulitofautiana ikafanya akapata nafasi akawa anadate na mshkaji flani mfanyabiashara wa maeneo flani around Sinza Hapo. Niliumia ila kwa ajili nampenda sana na sikutaka mustakabali wa maisha yetu,mahusiano na malezi ya mtoto yawe magumu niliamua kujishusha nikamwomba msamaha na kumwahidi kumpangia sehemu nzuri na kumnunulia vitu vyote vya muhimu kwa ajili ya Maisha. Kipindi Hiki hakua na kazi so ilibidi nimchukue mtoto kumleta Dar akaja kukaa nae huku mimi nikijitahidi kila wiki kuja Dar kwa ajili yao. Maisha Yetu Yalirudi Kawaida yakawa Poa na Hata mawasiliano na yule mshkaji niliona yamepungua Kabisa Though Jamaa Nilikamata Mara Kadhaa Txt Zake Akiwa Anamsumbua warudiane akimshawishi kwa kumtumia hela alivyoweza .Lakini Mara Zote alikuwa akinionyesha hata the way alikua anamkataa jamaa nikazidi kumuamini. Nikajua Sasa ni kufanya Maisha na kujipanga kwa ajili ya future yetu,nikaanza kuhangaika kumtafutia kazi ili tu asije pata vishawishi huku nikiendelea kumtunza yeye na mtoto kwa kadiri nilivyoweza.
Ilikua niko tayari kubaki hata na njaa ila nitimize mahitaji yao,Hata nikiwa na elfu 20 nitatuma 19 nabaki na elfu moja ilimradi niipambanie familia yangu. Nakatiza mwaka mzima sibadili nguo mpya wala viatu ilimradi familia iwe sawa. Nagombana na mwenye nyumba wangu nalimbikiza madeni ya kodi Lakini sikutaka kabisa nimpe stress za pango. Nimejikuta kwenye matatizo mengi lakini sikutaka kabisa yaniondoe kwenye Reli ya kumpambania yeye na mtoto.
Nikaachana na wanawake,nikapambana usiku na mchana,nafanya kazi ofisi 'A' Mchana usiku naingia office 'B' Nikaanzisha my side bussiness,Nasafiri usiku na mchana kwa ajili ya biashara zangu Yote kwa ajili ya kuhakikisha tunakua sawa.
Nikampangishia nyumba maeneo ya Sinza,baadae nimemhamisha kwenda kwenye nyumba kubwa zaidi maeneo ya Mbezi!
Hivi Karibuni kulitokea mgongano kati yetu uliofanya tujipe space kwa mda kwa ajili ya kujitathmini. Ila Nimekuja Kugundua Mwenzangu anatumia nafasi hio kunicheat Na amerudiana na mshkaji yule wa mwanzo na mara nyingi anaenda pale nyumbani!
Nimejaribu kuongea nae ila amenionyesha kama vile ndio maisha aliyoamua na hajali chochote nitakachoamua! Tumegombana Sana kabla ya mkesha wa christmas akawa ananijibu alivyojisikia akafikia hatua akanitukana tusi moja lisilovumilika nikamchapa vibao kama vitatu Vikamuachia Alama Za kutosha.Niliumia Kwa Kufanya Vile Na Asubuhi iliyofuata Nilimwomba mshamaha sana na kuonyesha nimejutia kile kitendo kwa,Sikutaka kabisa kwenye maisha yangu to put hand on my woman!.Sipendi Kumuumiza cz najua akiumia mi naumia zaidi.Akatumia kile kigezo kupata nguvu ya kuamua anachotaka! akaanza kuwasiliana na jamaa kwa nguvu zote ikabidi nimyangany'e simu kwanza! usiku wa siku hiyo akaniambia anaondoka anaenda kwao,nikamuuliza vipi kuhusu mtoto akanijibu ''Kwani Umenikuta Na Mtoto??'' Akaniambia nimpe simu yangu ya kitochi kama sitaki Kumpa smartphone yake! nikampatia,Akaondoka kwa hasira nikamfuata nyuma nikiwa na boxer tu mpaka nje nikamkuta anapiga simu nikamnyang'anya Kuangalia anampigia nani nikakuta ni namba za yule jamaa! Nikarudi nyumbani nikamuacha aende nikafika nikamuandaa mwanangu kwa ajili ya kuondoka sababu sikua na cha kufanya zaidi na nisingeweza kumuacha! Asubuhi nikaondoka Siku Ya chirstmas nikaondoka nae kurudi Arusha! nikampigia simu mama kumjulisha mjukuu wake anakuja kumsalimia.Tukawa Tumerudi Na Mwanangu na kumuacha. Nikachunguza Kimya Kimya Nikagundua wameanza tena mahusiano na mshkaji na kuna siku nilikuja bila yeye kujua mpaka Dar nikalihakikisha hilo! nikaondoka Nikiumia Machozi Yakinitoka Bila Kumwambia Chochote! Nikakaa Nalo moyoni mpaka jana namuulizia kuhusu uwezekano wa kupata cheti cha mtoto kwa ajili ya taratibu za shule! nikamwambia nitakuja Dar kukichukua akaniambia Akanipa Onyo Nisifike sehemu anakaa! Nikamwambia Hicho anachokificha mimi nakijua though sijawahi muambia! akapanik akanijibu ''Ndio Kiko Hivyo Unavyojua... Usinisumbue,Sitaki Kuchanganywa akili It Doesn't Matter Anaenda Pale or Not Hainihusu!! Akaniblock.
Na Kinachonniumiza zaidi kuna wakati wakiwa kwenye mahusiano na huyu mshkaji alikua hataki hata nijue anapokaa kwa kusema sio heshima mimi kufika sehemu aliyopangishiwa na mwanaume mwingine.Akaniambia nifanye mpango tu wa kumhamisha ili tuwe huru ila sio mimi kwenda Pale.Sasa Nawaza kama Aliweza Kufanya Vile Kwangu Wakati Ule,Kwanini ameweza kumruhusu mtu yule,yule alienizuia mimi kujua/kwenda wanapokaa Leo ndio anaenda mimi nilipompangishia tena bila aibu huku akijua kabisa kwamba mpaka tunahamia pale majirani walituona tukiwa nae na mtoto wetu tumeishi kwa mda kabla ya kutokea misunderstanding. Nampenda,Nimelia,Nimeumia Mpaka Mda Huu ameniblock! nawaza alikua ananitumia kama daraja au ndio hali ya kuyumba kidogo kiuchumi imesababisha yote haya! Nikimuuliza ananiambia nimuache afanye maisha kwanza tutayejenga mbeleni!. Sasa niko Njia Panda,nimeongea nimefika mwisho.Hapa Nilipo Nawaza nikafanye ambush la kushtukiza usiku nikipate ushahidi niwaondoe wote nifunge nyumba wakafanye Maisha yao sehemu nyingine! Au nikaushe niamue kumuachia Mungu! Naombeni Ushauri!
Mi sio mzuri kwenye ushauri, ila trust " I'M SURE ATARUDI"Nimekuwa Kwenye Mahusiano Na Huyu Binti Kwa Miaka 6 sasa! tumebahatika kupata Mtoto mmoja! ila hatujaoana. Kwa Sasa Yeye anaishi Dar Mimi niko kikazi Mikoa ya kaskazini! Mwanzo Nilianza Kufuata Taratibu za kumuoa nikatoa mpaka posa kwao tatizo likaja kwenye kikwazo cha dini! ikabidi tuweke pozi kwanza tufanye maisha mengine.
Kwenye Process za kupambana na Maisha Kuna Wakati tulitofautiana ikafanya akapata nafasi akawa anadate na mshkaji flani mfanyabiashara wa maeneo flani around Sinza Hapo. Niliumia ila kwa ajili nampenda sana na sikutaka mustakabali wa maisha yetu,mahusiano na malezi ya mtoto yawe magumu niliamua kujishusha nikamwomba msamaha na kumwahidi kumpangia sehemu nzuri na kumnunulia vitu vyote vya muhimu kwa ajili ya Maisha. Kipindi Hiki hakua na kazi so ilibidi nimchukue mtoto kumleta Dar akaja kukaa nae huku mimi nikijitahidi kila wiki kuja Dar kwa ajili yao. Maisha Yetu Yalirudi Kawaida yakawa Poa na Hata mawasiliano na yule mshkaji niliona yamepungua Kabisa Though Jamaa Nilikamata Mara Kadhaa Txt Zake Akiwa Anamsumbua warudiane akimshawishi kwa kumtumia hela alivyoweza .Lakini Mara Zote alikuwa akinionyesha hata the way alikua anamkataa jamaa nikazidi kumuamini. Nikajua Sasa ni kufanya Maisha na kujipanga kwa ajili ya future yetu,nikaanza kuhangaika kumtafutia kazi ili tu asije pata vishawishi huku nikiendelea kumtunza yeye na mtoto kwa kadiri nilivyoweza.
Ilikua niko tayari kubaki hata na njaa ila nitimize mahitaji yao,Hata nikiwa na elfu 20 nitatuma 19 nabaki na elfu moja ilimradi niipambanie familia yangu. Nakatiza mwaka mzima sibadili nguo mpya wala viatu ilimradi familia iwe sawa. Nagombana na mwenye nyumba wangu nalimbikiza madeni ya kodi Lakini sikutaka kabisa nimpe stress za pango. Nimejikuta kwenye matatizo mengi lakini sikutaka kabisa yaniondoe kwenye Reli ya kumpambania yeye na mtoto.
Nikaachana na wanawake,nikapambana usiku na mchana,nafanya kazi ofisi 'A' Mchana usiku naingia office 'B' Nikaanzisha my side bussiness,Nasafiri usiku na mchana kwa ajili ya biashara zangu Yote kwa ajili ya kuhakikisha tunakua sawa.
Nikampangishia nyumba maeneo ya Sinza,baadae nimemhamisha kwenda kwenye nyumba kubwa zaidi maeneo ya Mbezi!
Hivi Karibuni kulitokea mgongano kati yetu uliofanya tujipe space kwa mda kwa ajili ya kujitathmini. Ila Nimekuja Kugundua Mwenzangu anatumia nafasi hio kunicheat Na amerudiana na mshkaji yule wa mwanzo na mara nyingi anaenda pale nyumbani!
Nimejaribu kuongea nae ila amenionyesha kama vile ndio maisha aliyoamua na hajali chochote nitakachoamua! Tumegombana Sana kabla ya mkesha wa christmas akawa ananijibu alivyojisikia akafikia hatua akanitukana tusi moja lisilovumilika nikamchapa vibao kama vitatu Vikamuachia Alama Za kutosha.Niliumia Kwa Kufanya Vile Na Asubuhi iliyofuata Nilimwomba mshamaha sana na kuonyesha nimejutia kile kitendo kwa,Sikutaka kabisa kwenye maisha yangu to put hand on my woman!.Sipendi Kumuumiza cz najua akiumia mi naumia zaidi.Akatumia kile kigezo kupata nguvu ya kuamua anachotaka! akaanza kuwasiliana na jamaa kwa nguvu zote ikabidi nimyangany'e simu kwanza! usiku wa siku hiyo akaniambia anaondoka anaenda kwao,nikamuuliza vipi kuhusu mtoto akanijibu ''Kwani Umenikuta Na Mtoto??'' Akaniambia nimpe simu yangu ya kitochi kama sitaki Kumpa smartphone yake! nikampatia,Akaondoka kwa hasira nikamfuata nyuma nikiwa na boxer tu mpaka nje nikamkuta anapiga simu nikamnyang'anya Kuangalia anampigia nani nikakuta ni namba za yule jamaa! Nikarudi nyumbani nikamuacha aende nikafika nikamuandaa mwanangu kwa ajili ya kuondoka sababu sikua na cha kufanya zaidi na nisingeweza kumuacha! Asubuhi nikaondoka Siku Ya chirstmas nikaondoka nae kurudi Arusha! nikampigia simu mama kumjulisha mjukuu wake anakuja kumsalimia.Tukawa Tumerudi Na Mwanangu na kumuacha. Nikachunguza Kimya Kimya Nikagundua wameanza tena mahusiano na mshkaji na kuna siku nilikuja bila yeye kujua mpaka Dar nikalihakikisha hilo! nikaondoka Nikiumia Machozi Yakinitoka Bila Kumwambia Chochote! Nikakaa Nalo moyoni mpaka jana namuulizia kuhusu uwezekano wa kupata cheti cha mtoto kwa ajili ya taratibu za shule! nikamwambia nitakuja Dar kukichukua akaniambia Akanipa Onyo Nisifike sehemu anakaa! Nikamwambia Hicho anachokificha mimi nakijua though sijawahi muambia! akapanik akanijibu ''Ndio Kiko Hivyo Unavyojua... Usinisumbue,Sitaki Kuchanganywa akili It Doesn't Matter Anaenda Pale or Not Hainihusu!! Akaniblock.
Na Kinachonniumiza zaidi kuna wakati wakiwa kwenye mahusiano na huyu mshkaji alikua hataki hata nijue anapokaa kwa kusema sio heshima mimi kufika sehemu aliyopangishiwa na mwanaume mwingine.Akaniambia nifanye mpango tu wa kumhamisha ili tuwe huru ila sio mimi kwenda Pale.Sasa Nawaza kama Aliweza Kufanya Vile Kwangu Wakati Ule,Kwanini ameweza kumruhusu mtu yule,yule alienizuia mimi kujua/kwenda wanapokaa Leo ndio anaenda mimi nilipompangishia tena bila aibu huku akijua kabisa kwamba mpaka tunahamia pale majirani walituona tukiwa nae na mtoto wetu tumeishi kwa mda kabla ya kutokea misunderstanding. Nampenda,Nimelia,Nimeumia Mpaka Mda Huu ameniblock! nawaza alikua ananitumia kama daraja au ndio hali ya kuyumba kidogo kiuchumi imesababisha yote haya! Nikimuuliza ananiambia nimuache afanye maisha kwanza tutayejenga mbeleni!. Sasa niko Njia Panda,nimeongea nimefika mwisho.Hapa Nilipo Nawaza nikafanye ambush la kushtukiza usiku nikipate ushahidi niwaondoe wote nifunge nyumba wakafanye Maisha yao sehemu nyingine! Au nikaushe niamue kumuachia Mungu! Naombeni Ushauri!
Asante kama umenielewa mkuu.Kweli kabisa