Manofu
JF-Expert Member
- Nov 3, 2018
- 1,317
- 2,019
Siwezi sema Sana ila siku ya leo nilijitaidi kuishabikia kenya ila mwisho wa siku nimejikuta ninashabikia Tanzania. Sijui ndo nn iki? Toka mwanzo nilijiapiza mwenyewe kwamba kama timu ya taifa imeingiliwa na wanasiasa basi mm leo nitakuwa shabiki wa Kenya ila mpaka sasa naandika nipo bar nakunywa naona haibu mwenyewe