Nimejiridhisha vijana wa Tanzania wengi wao ni vilaza, Kenya na Rwanda wanaakili sana

chotera

JF-Expert Member
May 19, 2016
6,305
15,033
Sasa Rasmi.

Nimethibitisha vijana wa Tanzania wengi wao yaani asilimia ndogo ndio wenye akili, lakini wengi ni vilaza baada ya kufuatilia maongezi yao vijiweni.

Maongezi ya vijana wengi wa Kenya na Rwanda walikua wanajadili kwa ujumla namna ya kwenda nchi nyingine kusaka fursa hasa za kazi, elimu au maisha, nilishangaa baadhi ya vijiji wengi wanajadili umuhimu wa viongozi bora na jinsi watakavyoshiriki kwenye uongozi.

Vijana hao wa Kenya na Rwanda hata vijijini nilikuta wanajadili fursa kama kuomba greencard lottery na kuona vipi watapeleka bidhaa kama asali huko uarabuni na uchina.

Vijana walio wengi Tanzania nimekuta kwenye vijiwe wanajadili kula tunda kimasihara, simba na yanga, singeli, wanajadili kila gari ikipita wanajua hii ya fulani. Mara Diamond na Alikiba mara, Mange Kimambi, yaani kwa ufupi hakuna la maana wanaloweza kuongea halipo.

Sasa kwa namna hiyo sijui itakuaje huko mbeleni.
 
Sasa Rasmi.
Nimethibitisha vijana wa Tanzania wengi wao yaani asilimia ndogo ndio wenye akili, lakini wengi ni vilaza baada ya kufuatilia maongezi yao vijiweni.
Maongezi ya vijana wengi wa Kenya na Rwanda walikua wanajadili kwa ujumla namna ya kwenda nchi nyingine kusaka fursa hasa za kazi, elimu au maisha, nilishangaa baadhi ya vijiji wengi wanajadili umuhimu wa viongozi bora na jinsi watakavyoshiriki kwenye uongozi.
Vijana hao wa Kenya na Rwanda hata vijijini nilikuta wanajadili fursa kama kuomba greencard lottery na kuona vipi watapeleka bidhaa kama asali huko uarabuni na uchina.
Vijana walio wengi Tanzania nimekuta kwenye vijiwe wanajadili kula tunda kimasihara, simba na yanga, singeli, wanajadili kila gari ikipita wanajua hii ya fulani mara diamond na alikiba mara mange kimambi, yaani kwa ufupi hakuna la maana wanaloweza kuongea halipo.
Sasa kwa namna hiyo sijui itakuaje huko mbeleni.
Ndio maana ya vijana wa hovyoo
 
Rwanda na Kenya hakuna asali ambazo vijana wanaweza peleka arabuni...huwezi ongea vitu vya maana maskani kila siku masala yote...acha ujinga

Wanaifuata sikonge na kigoma, wanapeleka kwao wanaipurify, wanapack vizuri wana export endelea kusema kwao hakuna asali wakati, wanavuka kwenda malawi na zambia kuchukua soya, mahindi na karanga
 
Sasa Rasmi.
Nimethibitisha vijana wa Tanzania wengi wao yaani asilimia ndogo ndio wenye akili, lakini wengi ni vilaza baada ya kufuatilia maongezi yao vijiweni.
Maongezi ya vijana wengi wa Kenya na Rwanda walikua wanajadili kwa ujumla namna ya kwenda nchi nyingine kusaka fursa hasa za kazi, elimu au maisha, nilishangaa baadhi ya vijiji wengi wanajadili umuhimu wa viongozi bora na jinsi watakavyoshiriki kwenye uongozi.
Vijana hao wa Kenya na Rwanda hata vijijini nilikuta wanajadili fursa kama kuomba greencard lottery na kuona vipi watapeleka bidhaa kama asali huko uarabuni na uchina.
Vijana walio wengi Tanzania nimekuta kwenye vijiwe wanajadili kula tunda kimasihara, simba na yanga, singeli, wanajadili kila gari ikipita wanajua hii ya fulani mara diamond na alikiba mara mange kimambi, yaani kwa ufupi hakuna la maana wanaloweza kuongea halipo.
Sasa kwa namna hiyo sijui itakuaje huko mbeleni.
bado tunadiscuss wengine tutapata vipi connection ya IFM
 
Sasa Rasmi.
Nimethibitisha vijana wa Tanzania wengi wao yaani asilimia ndogo ndio wenye akili, lakini wengi ni vilaza baada ya kufuatilia maongezi yao vijiweni.
Maongezi ya vijana wengi wa Kenya na Rwanda walikua wanajadili kwa ujumla namna ya kwenda nchi nyingine kusaka fursa hasa za kazi, elimu au maisha, nilishangaa baadhi ya vijiji wengi wanajadili umuhimu wa viongozi bora na jinsi watakavyoshiriki kwenye uongozi.
Vijana hao wa Kenya na Rwanda hata vijijini nilikuta wanajadili fursa kama kuomba greencard lottery na kuona vipi watapeleka bidhaa kama asali huko uarabuni na uchina.
Vijana walio wengi Tanzania nimekuta kwenye vijiwe wanajadili kula tunda kimasihara, simba na yanga, singeli, wanajadili kila gari ikipita wanajua hii ya fulani mara diamond na alikiba mara mange kimambi, yaani kwa ufupi hakuna la maana wanaloweza kuongea halipo.
Sasa kwa namna hiyo sijui itakuaje huko mbeleni.
Inategemeana na wazazi wao 😜😜
 
Sasa Rasmi.
Nimethibitisha vijana wa Tanzania wengi wao yaani asilimia ndogo ndio wenye akili, lakini wengi ni vilaza baada ya kufuatilia maongezi yao vijiweni.
Maongezi ya vijana wengi wa Kenya na Rwanda walikua wanajadili kwa ujumla namna ya kwenda nchi nyingine kusaka fursa hasa za kazi, elimu au maisha, nilishangaa baadhi ya vijiji wengi wanajadili umuhimu wa viongozi bora na jinsi watakavyoshiriki kwenye uongozi.
Vijana hao wa Kenya na Rwanda hata vijijini nilikuta wanajadili fursa kama kuomba greencard lottery na kuona vipi watapeleka bidhaa kama asali huko uarabuni na uchina.
Vijana walio wengi Tanzania nimekuta kwenye vijiwe wanajadili kula tunda kimasihara, simba na yanga, singeli, wanajadili kila gari ikipita wanajua hii ya fulani mara diamond na alikiba mara mange kimambi, yaani kwa ufupi hakuna la maana wanaloweza kuongea halipo.
Sasa kwa namna hiyo sijui itakuaje huko mbeleni.
Wewe ni WA nchi gani
 
Back
Top Bottom