King_Villa
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 575
- 378
- Thread starter
- #21
Sina uzalendo tena!Mwenye akili ataona hapa kuna shida kubwa sana!!
Kwahiyo uko tayari kuwa jasusi la china hapa tanzania?
Mtu kama wewe ukipata kazi BoT alafu china wakakufwata uwape data utakataa kweli?
Sikulaumu wewe mkuu, ila kuna kitu hakiko sawa kwenye hii nchi!!
Yan wanirushie mpunga kidogo tu !
Kila data nawapa!