Author
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 1,709
- 8,007
Chooni sio ustaarabuBadala umwelekeze chooni we ukamwelekeza chumbani,huyo kataka menyewe
Sent using Jamii Forums mobile app
OkKumbuka hakuanza kugonga mlangoni kwako, na wewe sio wa kwanza kumwambia ajaribishe chupi...wanaume akili zinafanana....
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoto mshenzi sana wewe hii khabari yako imefanya nimejikuta ukuni umesimama ghafla na leo nimechomekea shati nimeaga ghafla sehemu niliyokuwa kuepuka fedheha
Kabisaaaa yani
Weee jamaaa umenichekesha yaani nmecheka ile kifala watu wamenishangaawhat if kama ni SHING'WENG'WE??
Niagize chapati ngap mkuuJuzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)
Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.
Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.
Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.
Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
hahahah usijali ndgWeee jamaaa umenichekesha yaani nmecheka ile kifala watu wamenishangaa
Umenikumbusha mbali kinoma RIP bibi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahah usijali ndgWeee jamaaa umenichekesha yaani nmecheka ile kifala watu wamenishangaa
Umenikumbusha mbali kinoma RIP bibi yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana ukaambiwa ukiwa mkubwa, sasa utaelewaje wakati bado uko mdogo? Subiri ukue ipo siku utauelewa tu huo mstari una maana gani
Kwa hiyo,kutembea kwake(huku anajitafutia rizki),mijasho hiyo,hana uwezo kama wako wa kumiliki Range Rover,na hayo mengine,yanamuvua ubinadamu?Kazurura huko weeeeh, kafika kwako sijui saa ngapi, mijasho, chupi hajabadili, alishakojoa au hata kugongwa na mkware kama wewe nusu saa iliyopita,
Na wewe unakuja hapo hapo unagonga,
,
Nawaza kwa sauti eeh don' mind me.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Hapana. Msimsingizie. Aligegeda tu kujaribisha kama inaweza kuingia