Nimejikuta tu nipo na muuza nguo za ndani kitandani

Tunajifunza nini hapo mkuu!?
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
 
To that extent and beyond.... Coz K choosers is not a good fucker....

"رمضان كريم وصوم مقبول"
"K choosers is not a good fucker" hahahaha kaka mkubwa umeua kabisaaa,

Anyway kwa sisi ambao lazima tuzame chumvini hua tunachagua sana, lazima ipigwe maji kabla haijaanza kushughulikiwa.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
 
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.

Mabaharia ndio zenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
"K choosers is not a good fucker" hahahaha kaka mkubwa umeua kabisaaa,

Anyway kwa sisi ambao lazima tuzame chumvini hua tunachagua sana, lazima ipigwe maji kabla haijaanza kushughulikiwa.

Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Tafuta wimbo wa Bladkey unaitwa "Mvuvi" ndani kuna shairi: "Wanasema raha ya papa ni chumvi, nikipewa ni lazima sharti niilambe"


"رمضان كريم وصوم مقبول"
 
Shing'weng'we nilipata kulielewa hili neno kupitia filamu ya Nsyuka, nilikuwa naangalia filamu hiyo nikiwa na jamaa mmoja mwenyeji wa kanda ya ziwa.
*Shing'weng'we = Shetani, kibwengo zimwi, mzuka.

"رمضان كريم وصوم مقبول"
upo sahihi kabisa sasa huyo mtoa mada kama hicho kisa ni ukweli na si masihara basi kuna uwezekano mkubwa katembea na shetani,kitakacho mtokea siku za usoni ni kushiriki tendo la ndoa nyakati za usiku na watu wasiojulikana/asiowajua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Proverbs 6:32-33

Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake.

Atapata jeraha na kuvunjiwa heshima; Wala fedheha yake haitafutika.
 
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
Wewe hilo umelifanya Leo...mimi nililifanya 1993 nikiwa form 2 kwa muuza mboga

"corona ipo tuchukue tahadhari"
 
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
hahahahhahaha pompea tanzania imekushinda

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naona watu wamevaa suti nyeusi na kofia zao wanakuchungulia na kawimbo kanaoigwa tandata ndata tan tan
 
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
Mkuu haya Mambo ukiyaendea serious hufanikiwi,Kuna mmoja alikiwa anauza vyombo vya ndani,nikiwa kibandan kimoja napiga liquid mdogomdogo kafika nikamtania akaniambia Kaka nunua nikamwambia labda tupeleke kwa mama aone,akanifuata hajui kuwa ni bachelor kufika nikamkarimu vizuri nikampa soda mayai na matunda matani matani nilijikuta tupo hoi nahtaji arudi next time raaaaha mno
 
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)

Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.

Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.

Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.

Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.
Angalau sasa wife nitamuhimiza kwenda dukani kwakuwa hizi za mtaani mnakuwa mmezitumia mpaka kitandani.
 

Similar Discussions

25 Reactions
Reply
Back
Top Bottom