Beeb
JF-Expert Member
- Aug 18, 2018
- 29,402
- 58,951
Kwwninhii ilitakiwa iwe ni moja ya comment kwenye ule uzi wa kula tunda kimasihara
Nilinunua zoteUlinunua sasa ile nguo ulioipenda kwa ajil y wifi wake
Alikua hanuki jasho kabisaKazurura huko weeeeh, kafika kwako sijui saa ngapi, mijasho, chupi hajabadili, alishakojoa au hata kugongwa na mkware kama wewe nusu saa iliyopita,
Na wewe unakuja hapo hapo unagonga,
,
Nawaza kwa sauti eeh don' mind me.
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Kwani akijaribisha, nikachukua za size ile aliojaribisha kuna tatizo, nilinunua zote aliziacha pale za size ile niliotaka, kama pair 10 hiviEeeeh
Wadada tuwe makini jamani na hizi zawadi(kama hii stori sio changamsha genge)
Shida ipo!
Shikamoo MamaUmalaya wako tu huo,
Haya akipita muuza mboga mboga naye mkaze
Akipita mfanye usafi hivyo hivyo,
Bado na Mamndenyi unamtaka, koma.
Take care.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafanya hivyoUmalaya wako tu huo,
Haya akipita muuza mboga mboga naye mkaze
Akipita mfanye usafi hivyo hivyo,
Bado na Mamndenyi unamtaka, koma.
Take care.
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahaha ni kweli kabisaHapa watakuelewa wale wa Shinyanga, mwanza, geita na kahama
"رمضان كريم وصوم مقبول"
Kuongea naye tu sio tatizo.
Tatizo ni kama ulipiga na ukapiga Pekupeku.
Sent using Jamii Forums mobile app
To that extent and beyond.... Coz K choosers is not a good fucker....Not tu zat eksitent, lol
Boost your Immune System to fight a Covid-19.
Shing'weng'we nilipata kulielewa hili neno kupitia filamu ya Nsyuka, nilikuwa naangalia filamu hiyo nikiwa na jamaa mmoja mwenyeji wa kanda ya ziwa.
Kusoma vizuri ndo kupi
Juzi nipo zangu home, nipo juu nikasikia huko Ground Floor kuna mtu anagonga mlango nikashuka ngazi fasta maana kuna ugeni nilikua nautegemea (kwa sisi masikini hatuna uwezo wa kuweka lift, ni mwendo wa ngazi tuu)
Kwenda kufungua mlango ni binti mdogomdogo anauza nguo za mitumba sana sana nguo za ndani za wanawake, nikamkaribisha ndani nikamwambia azimwage mezani nataka nimchagulie wifi yake pair 5 hivi.
Wakati kazimwaga pale mezani tunachagua kuna nguo ya ndani moja niliipenda lakini nikahisi kama ndogo kwa ninayemnunulia, akaniuliza "kwani unaemnunulia ni mnene sana?! " Nikamjibu hapana, ana umbo kama lako tuu, nikamtania aijaribishe nione ikikutosha nayeye itamtosha.
Nilifanya kama utani, lakini yeye akafanya kweli akaniambia nimuonyeshe chumba aingie abadilishe, nikamuonyesha.
Unajua sikuamini, nikaona nikachungulie kama kweli anabadilisha, duuh! Kiukweli sikuamini mtoto wa kike anavua yake anavaa ile, sikuelewa kilichotokea baada ya lisaa limoja nilijikuta nipo nae kitandani tunaongea.