SN.BARRY
JF-Expert Member
- Oct 12, 2012
- 4,040
- 8,895
Safi sanaBalo za jeans zimefawanyika kama ifuatavyo
☆ jeans men
Hizi ni kuanzia size 28 kuendelea wanavaa kuanzia wakubwa kuendelea
Namba 1 bei yake ni laki 5
Namba 2 bei yake ni laki 2½
Zinakaaa peace mia za jeans
☆ladies
Hizi ni jeans mchananyiko za kike na kiume mara nyingi ukinunua hii unakutana na modo za vijana kuliko ukinunua jeans men utakutana na ma bwanga ijapokua inategemea mzigo ni kutoka taifa gan ila kwa experience yangu mzigo wa china na Korea hua mzigo mzuri,
Namba 1 ni laki 5
Namba 2 ni laki 2½
☆ alafu kuna boypant
Hii ndo ninayoiuza mimi humu utakutana na jeans kwanzia watoto wa miaka 8 mpka miaka 18 iv
Namba 1 ni lak 5
Namba 2 ni laki 2½
Hizi zinakaa 125
Kama unauzia kijijini nunua namba 2 km unauzia town nunua namba 1
Kwangu mimi hii biashara naona ina faida kama utakua na boypant na ladies, pia kuna jeans kali utakutana nazo ambazo utauza bei zaidi, na hizi bei ni kwa dodoma
Pia kila balo linajina lake ukitaka kununua tafuta duka watakalokupa details za kutosha ujue ni kitu gani unakwendaa kukutana nacsan,