ahmed omar
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 266
- 212
Ukiongeza Tatu unahamiaKama Ni kanda ya ziwa na Mimi nimetumia kiwango Kama chako na sijaweka gril..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiongeza Tatu unahamiaKama Ni kanda ya ziwa na Mimi nimetumia kiwango Kama chako na sijaweka gril..
Sent using Jamii Forums mobile app
miliki QashaQai kwanzaNaam
Mungu akipenda na mimi ntaanza ujenzi mwisho wa mwaka huu
🤩🤩🤩🤩🤩🤩Mmiliki QashaQai kwanza
acha upuuzi..tofali inunue tsh 2000 moja room 2 zipe tofali 2000...jenga na cement ya 1m weka bati za m2 fundi mpe 2m=sawa na m5...m2 mchnga sawa na m7
Inategemea unataka kufuga nini kwenye hiko kibanda chako,ila kwa hapo ulipofikia nguruwe unaweza anza kufuga bila matatizo
Imepona aisee, nikiitembelea kwa sasa sio kama zamani, sasa naitembelea kwa kuijenga. Zamani nilikuwa naitembelea naingalia tu kama mgonjwa naondoka. 😀Plot imepona mama?
Ahsante RR, tunapambana na hali zetu!Hongera.
Hongera aisee..Imepona aisee, nikiitembelea kwa sasa sio kama zamani, sasa naitembelea kwa kuijenga. Zamani nilikuwa naitembelea naingalia tu kama mgonjwa naondoka.
hhhhhhh
We Zoba, mbona hujui kuwa unapaua na mbao? Na hujui kuwa kuna nondo, wala hujui kuwa kuna mchanga, kokoto, misumari, grills kama boya mwenzio alivyosema "drill"na mengineyo?
Wewe ni kula kulala Zomboko wewe, hujui hata mahitaji
Muhimu ya ujenzi.
Nyumba gani inajengea na fundi mmoja kwenye uashi na useremala,ndiyo maana nasema munajenga mabanda ya kitimoto mukiita nyuma,koro mkubwa wewe.
Waache wasubiri wapate 150milions ndo wajenge nyumba ya vyumba viwili na sebule! Mana hata 50m haitoshiNinyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Kwani kila nyumba inatumia 15m kwenye paa tu? Ndo mana hadhi na thamani ya nyumba zinatofautina. Wengine hiyo 15m kajumba kamekamilika na anahamia.Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Naomba unisaidie mchanganuovyumba 3 na sebule m7 hadi juuuu
Umefufua?Siyo mbaya kwa budget uliyofikia
Ova