Nimejenga kibanda changu vyumba 3, sebule ndogo, jiko dogo, store, choo na bafu la ndani kwa Sh 12,000,000

We Zoba, mbona hujui kuwa unapaua na mbao? Na hujui kuwa kuna nondo, wala hujui kuwa kuna mchanga, kokoto, misumari, grills kama boya mwenzio alivyosema "drill"na mengineyo?
Wewe ni kula kulala Zomboko wewe, hujui hata mahitaji
Muhimu ya ujenzi.
Nyumba gani inajengea na fundi mmoja kwenye uashi na useremala,ndiyo maana nasema munajenga mabanda ya kitimoto mukiita nyumba,koro mkubwa wewe.
acha upuuzi..tofali inunue tsh 2000 moja room 2 zipe tofali 2000...jenga na cement ya 1m weka bati za m2 fundi mpe 2m=sawa na m5...m2 mchnga sawa na m7
 
sasa nondo ya vyumba viwili unataka iwe sh ngapi?nnondo nne tu... dirisha la grill halizidi laki vyumba viwili vina madirisha mangapi?..we ni **** kama **** nyingine utakuta hata huna lolote bora mi kula kulala nakula kodi we bado unalipia kodi...unachojua tu ni kutukana hata angesema drill nini hujaelewa...yaani wabongo hawaangalii ufahamu wanaangalia makosa..yaani we ni mavi ya kuku...
We Zoba, mbona hujui kuwa unapaua na mbao? Na hujui kuwa kuna nondo, wala hujui kuwa kuna mchanga, kokoto, misumari, grills kama boya mwenzio alivyosema "drill"na mengineyo?
Wewe ni kula kulala Zomboko wewe, hujui hata mahitaji
Muhimu ya ujenzi.
Nyumba gani inajengea na fundi mmoja kwenye uashi na useremala,ndiyo maana nasema munajenga mabanda ya kitimoto mukiita nyuma,koro mkubwa wewe.
 
Ninyi vijana wa mjini kujifanya kujua kwingi ndio maana kila siku mnamaliza mtaa kwenye nyumba za kupanga,miezi sita tabata,inayofuata sinza,kimara hamjengi.
Wakati mwingine mkija mikoani mnaona aibu kwakuwakuta vijana wa umri chini yenu wapo kwenye nyumba zao na maisha yanasonga.
Hii ni kwasababu ya kujifanya wajuaji wakati kiuhalisia haimna isue kazi kuzurula na vibegi mjini hamna dira yoyote.
Ujenzi kama utausimamia mwenyewe na ukajua namna sahihi yakukwepa gharama utatumia pesa yakawaida.
Sio mbaya ninyi endeleeni kugombania na kujisifia kupanga nyumba za wenzenu zenye tiles nzuri,aluminium,uzio na ma geti mpaka mstuke mvi kichwani.
Waache wasubiri wapate 150milions ndo wajenge nyumba ya vyumba viwili na sebule! Mana hata 50m haitoshi
 
Mimi nimejenga nyumba ya kawaida yenye vyumba vitatu, sebule, dining, jiko na vyoo vya ndani kama hiyo ya kwako. Kwenye paa pekee nimetumia milioni 15 na kidogo. Hapa ilipo imeshatafuna almost milioni 50 na bado sijakamilisha finishing za tiles, gypsum, skimmimg/plaster, kupiga rangi, milango na kuweka madirisha ya aluminium. Inawezekana upo sahihi unaposema umejenga kibanda...
Kwani kila nyumba inatumia 15m kwenye paa tu? Ndo mana hadhi na thamani ya nyumba zinatofautina. Wengine hiyo 15m kajumba kamekamilika na anahamia.
 
Back
Top Bottom