mkhande95
JF-Expert Member
- Aug 9, 2019
- 308
- 178
Na hutakaa ujue, hongera yako unapikiwa kila siku!!!Na mimi nina haki ya kuandika chochote as long as sivunji sheria.
Acheni kufanya kazi za kina mama na kujisifu.
Na hutakaa ujue, hongera yako unapikiwa kila siku!!!Na mimi nina haki ya kuandika chochote as long as sivunji sheria.
Acheni kufanya kazi za kina mama na kujisifu.
Na hutakaa ujue, hongera yako unapikiwa kila siku!!!
Kazi za kinamama ni zipi nazo km si ushamba tu,utakula mavi siku kwa kupenda kupikiwa boya ww.Na mimi nina haki ya kuandika chochote as long as sivunji sheria.
Acheni kufanya kazi za kina mama na kujisifu.
Ni wa kupuuzwa tu huyoKazi za kinamama ni zipi nazo km si ushamba tu,utakula mavi siku kwa kupenda kupikiwa boya ww.
Vibamia vya kuchemsha hivyo vina kazi gani kupika?
Kwahiyo hutaki wapike?Nimesema sijui na sina ninachopoteza.
Kinachonishangaza ni wanaume kupost post wakiwa wanapika.
I can understand kama ni kazi, ila siyo hizi za kupika home unapost humu.
Kwahiyo hutaki wapike?
Watakula kwako?
Halafu wasiposti ili iweje? unawalipia bando labda!?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi za kinamama ni zipi nazo km si ushamba tu,utakula mavi siku kwa kupenda kupikiwa boya ww.
Vibamia vya kuchemsha hivyo vina kazi gani kupika?
mkuu naona picha ya kwanza inaonekana vizuri umepanga size za videshee kwenye sahani hebu wademu waonyeshe wanapendaga size gani?