Nimejaribu kupiga windows 10 kwenye hp elitebook 820 bila mafanikio

UPDATE
Wakuu nashukuru sana tena sana na nimefurahi sana kwani kwa kufuata ushauri mlionipa hatimaye nimeweza kumaliza baada ya kuchomoa tu flash kumbe mchawi alikuwa ni flash
AHSANTENI SANA
20190909_223248.jpeg
20190909_223909.jpeg
1568058357198.jpeg
 
Huyu jamaa ametoa solution ila hakua na uhakika.

Kwanza kabisa windows huwa inacopy files toka kwenye source ambapo wewe ni usb stick.

Ikimaliza inazi expand na unapata status ya making files ready for instalation. This stage ikiisha na kuanza kuinstall feature wewe toa flash yako hata ukiamua itupe tu sababu imeshacopy setup files zako kwenye computer hard disk.

Ikimaliza ku ingiza drives ambayo ni hatua ya mwisho basi windows yako ita restart na kuwaka ili kumalizia process ya windows setup.

Mchawi hapo ni kutoa flash usihangaike na boot order now mkuu. Kama uki close hiyo windows inayojirudia na flash uchomoe, computer itawaka na kumalizia setup.

Cheers
Mkuu nashukuru sana yaani nimefuata kama ulivyonielekeza na kweli hapa sasa hivi nmemaliza kazi na nmefurahi mpaka nikiona mbu anapita mbele angu nacheka nae tu
 
ulipokosea hapo ni kwenye boot order,,nenda kwenye bios change boot order,, hard drive yako iwe ya kwanza halafu save then restart window itaendelea pale ilipoishia,,,
kuanza upya kunasababishwa na pc kuboot kwenye hiyo flash ya window kwanza badala ya hard disk,,,,
Mkuu ahsante sana hatimaye nimefanikiwa
 
Acha mawenge wewe, Ukishamaliza Kupiga window hakikisha unatoa Flash au Cd unayotumia kwa Boot la sivyo itarudi kulekule
 
Acha mawenge wewe, Ukishamaliza Kupiga window hakikisha unatoa Flash au Cd unayotumia kwa Boot la sivyo itarudi kulekule
mkuu nashukuru kwani mwanzo sikujua hili but kwa kuamhiwa na wanan'zengo nimefuata na hatimaye nimefanikiwa
 
Mkuu
Jipongeze Sana maana umetumia mtandao kwa kujifunza kutatua tatizo lako
Umefanya matumiz chanya ya mtandao
Hongera
ahsante sana mkuu na hata ukisoma mwanzoni kabisa nilieleza kuwa nimejifunza kupiga window kwa msaada wa google na nilivoona mambo hayaendi ikabidi niingie huku kupata mwanga na kwakweli nimefanikiwa kwa 100% nashukuru sana watu wamenisaidia kwa moyo moja na hongereni sana kwa moyo huo maana kuna wengine kazi yao huwa ni kukebehi na kejeli juu.
 
ahsante sana mkuu na hata ukisoma mwanzoni kabisa nilieleza kuwa nimejifunza kupiga window kwa msaada wa google na nilivoona mambo hayaendi ikabidi niingie huku kupata mwanga na kwakweli nimefanikiwa kwa 100% nashukuru sana watu wamenisaidia kwa moyo moja na hongereni sana kwa moyo huo maana kuna wengine kazi yao huwa ni kukebehi na kejeli juu.
Ulicho bakiza ni kusajili je umekamilisha ?mana bila hivyo uttumia siku thelathin tu
 
ahsante sana mkuu na hata ukisoma mwanzoni kabisa nilieleza kuwa nimejifunza kupiga window kwa msaada wa google na nilivoona mambo hayaendi ikabidi niingie huku kupata mwanga na kwakweli nimefanikiwa kwa 100% nashukuru sana watu wamenisaidia kwa moyo moja na hongereni sana kwa moyo huo maana kuna wengine kazi yao huwa ni kukebehi na kejeli juu.
mkuu
kukebehi na kukejeli ni kazi za vijana wenzetu ambao ni wapumbavu.....huwa kila nikisoma nyuzi za zamani humu(makaburi) huwa natamani ningekuwepo tokea miaka hiyo ambapo JF ilikuwa ni mwendo wa hoja kwa hoja...ckuhiz vijana tumewaletea great thinkers matusi,kebehi a tunajitutumua
 
Hapana mkuu sijasajili naomba unipe mwanga namna ya kusajili
Right click my computer icon then shuka chin kwenye properties halafu utaona kama haijasajiliwa itaandikwa not registered or 30 days to register kama itakuwa imekuwa registered utaona windows is activated

Sasa kama haijawa actvated ingia google download KMS uiactivate no simple sana
 
Right click my computer icon then shuka chin kwenye properties halafu utaona kama haijasajiliwa itaandikwa not registered or 30 days to register kama itakuwa imekuwa registered utaona windows is activated
Sasa kama haijawa actvated ingia google download KMS uiactivate no simple sana
tayari mkuu maana imeniandikia windows activated.
 
Back
Top Bottom