Nimeitwa usaili tarehe 05, Nina mashaka na yafuatayo.

-Nani kakudanganya kuwa Affidavit haina bei elekezi? Gharama za Affidavit zipo kwenye Sheria ya Notary public and commissioners for oath Act kasome kule kwenye zile Schedules za kule mwishoni mwa sheria,
-Hakuna sehemu kwenye sheria ya notary public and commissioners for oath act inayosema Affidavit ni 5000/- kama ipo taja ni schedule ya ngapi na kifungu gani cha hiyo schedule
- umesema unajiandikia Affidavit,hebu tueleze ni vitu gani vinakuwepo kwenye hiyo affidavit (taja necessary parts na vitu unavyoviweka kwenye affidavit ), halafu hebu tutajie sheria inayotumika kutoa hizo affidavit
-
msomi msamehe huyo ni layperson. Anadhani kwa vile yeye ni kishoka anajitengenezea kiapo basi hakuna bei elekezi.

Tena hiyo 20k yenyewe ni ya kugonga muhuri tu..bado haujajumuisha drafting costs.
 
Oya wadau, vipi kwa mtu ambae majina yako Hivi kwenye vyeti na kitambulisho, Je ana tatizo lolote.

NIDA-Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti Degree- Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti Diploma- Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti (Basic Technician Certificate) - Sinderela S. Filbert

Cheti form four- Sinderela S. Fiblert

Cheti Cha kuzaliwa- Sinderela Sylvester Fiblert

NOTE: Hapo kwenye cheti Cha Basic Technician Certificate na form four vimeandikwa initial Yaani Sinderela S Fiblert, wakati vingine viko na full three names yaani Sinderela Sylvester Fiblert, vipi hapo Kuna tatizo wadau ?
 
msomi msamehe huyo ni layperson. Anadhani kwa vile yeye ni kishoka anajitengenezea kiapo basi hakuna bei elekezi.

Tena hiyo 20k yenyewe ni ya kugonga muhuri tu..bado haujajumuisha drafting costs.
yeah ni layperson nakubaliana na ww msomi.
 
Oya wadau, vipi kwa mtu ambae majina yako Hivi kwenye vyeti na kitambulisho, Je ana tatizo lolote.

NIDA-Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti Degree- Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti Diploma- Sinderela Sylvester Fiblert

Cheti (Basic Technician Certificate) - Sinderela S. Filbert

Cheti form four- Sinderela S. Fiblert

Cheti Cha kuzaliwa- Sinderela Sylvester Fiblert

NOTE: Hapo kwenye cheti Cha Basic Technician Certificate na form four vimeandikwa initial Yaani Sinderela S Fiblert, wakati vingine viko na full three names yaani Sinderela Sylvester Fiblert, vipi hapo Kuna tatizo wadau ?
Tatizo lipo hapo kwenye bold. hayo ni majina mawili tofauti.
 
Hongera kuitwa, ila next time usiwe specific na nafasi uliyoitiwa na kama hayo majina uliyoweka hapa ni majina yako halisi ni KOSA kubwa sana. Huku mtandaoni hasa Jamii forums kuna watu aina zote, wazuri sana na wabaya sana. Waweza kuikosa hiyo nafasi , simply kwa kuweka taarifa za hiyo nafasi ya kazi uliyoitiwa. Sio kitu ni cha kuweka mtandaoni, wakati mwingine tafuta ndugu na jamaa wenye uelewa wafuate walipo wakupe majibu. Ngoja nikupe mfano mwepesi, ikitokea kuna mtoto wa kigogo labda Waziri mkuu au Waziri yeyote au ndugu tu akaiona hii thread yako na pengine hakuwa na taarifa kama hii nafasi ilitangazwa, akaitamani hii post akampigia baba yake ambaye ni Waziri na simu zikapigwa huko Dodoma, unadhani chance yako kupita kwenye usahili zinabaki % ngapi!!??, Wakati mwingine waweza kujizibia riziki bila kujua, hii mitandao inahitaji akili kubwa sana.
Huyu hadi sasa hiyo nafasi ameshaikosa
 
Jina likitofautiana herufi moja tu ni forgery.

Huu muda ulitakiwa uhakikishe vyeti viko sawa.

Kaape mahakamani, japo pia inaweza isisaidie.

Siku ingine uwe na kidaka tonge mwanangu
 
Jina likitofautiana herufi moja tu ni forgery.

Huu muda ulitakiwa uhakikishe vyeti viko sawa.

Kaape mahakamani, japo pia inaweza isisaidie.

Siku ingine uwe na kidaka tonge mwanangu
Kwa muda uliobaki sijui Kama nitatoboa
 
Jina likitofautiana herufi moja tu ni forgery.

Huu muda ulitakiwa uhakikishe vyeti viko sawa.

Kaape mahakamani, japo pia inaweza isisaidie.

Siku ingine uwe na kidaka tonge mwanangu
Kidaka tonge! Ufafanuzi tafadhari
 
Nenda kwa wakili akuandalie deed poll uipeleke kwa msajili utailipia 33000.
Baada ya kuhangaika kwakipindi kirefu hatimae Sasa nimeitwa kwenye usaili DODOMA nafasi ya mwandishi rasmi wa taarifa za bunge daraja la 2. Licha ya furaha hiyo Kuna Mambo naombeni msaada wanabodi.

1: Utofauti mdogo wa Majina Kati ya NIDA na vyeti vingine.
NIDA jina limepunguzwa herufi yaani Kwa mfano badala ya kuandikwa WENGA limeandikwa WEGA, je haitaniletea shida? Kama jibu ni ndio nifanye Nini kulishinda hili.

2: Majina matatu vs majina mawili.
Vyeti vyote vya kitaaluma majina yanayotumika ni mawili mfano yaani niwe naitwa DANIEL WENGA, NIDA niwe natumia DANIEL SHIJA WEGA. Naombeni msaada wa Nini kifanyike Ili nisiishie getini.

Naombeni msaada wa haraka maana nimeshaanza kuandaa mabegi ninaamini katika zile nafasi 6 Moja ni yangu licha ya waombaji kuwa 400+

NOTE: Majina niliyotumia kwenye Uzi huu Sio yangu, nimetumia kuwasilisha kile kilichopo kwenye nyaraka zangu.
 
Nenda kwa wakili akuandalie deed poll uipeleke kwa msajili utailipia 33000.
Nimeona kwenye Uzi wanasema hiyo deed poll inachukua siku tatu sijui mpaka kwahuyo msajili na usaili juma tatu. Au ni process fupi tu kuiandaa hiyo deed poll
 
Mahakama zimefunga mpaka next week na hiyo juma tatu saa tatu ndani ya nyumba. Nafikiria niende nikaolewe nirudi kujipanga.
Una harusi siku za karibuni ?

Tumia muda uwe na vyeti vya majina sawa, then urudi kilingeni
 
Wengi wetu darasa la Saba hadi form six tumetumia majina mawili tu! Mfano Jakaya Kikwete! Lakini kuna documents ambazo zinahitaji kuwa na majina matatu mfano! NIDA, passport au card ya kura! Hapa majina lazima yasome Jakaya Mrisho Kikwete! Pia chuoni hua kuna option ya Surname! Unaweza kuweka au usiweke kabisa! Kwa hiyo hapa Jakaya Kikwete na Jakaya Mrisho Kikwete ni mtu mmoja! Maana baadhi ya documaa zina hadi picha zako! Nenda kafanye usaili kijana!
 
-Nani kakudanganya kuwa Affidavit haina bei elekezi? Gharama za Affidavit zipo kwenye Sheria ya Notary public and commissioners for oath Act kasome kule kwenye zile Schedules za kule mwishoni mwa sheria,
-Hakuna sehemu kwenye sheria ya notary public and commissioners for oath act inayosema Affidavit ni 5000/- kama ipo taja ni schedule ya ngapi na kifungu gani cha hiyo schedule
- umesema unajiandikia Affidavit,hebu tueleze ni vitu gani vinakuwepo kwenye hiyo affidavit (taja necessary parts na vitu unavyoviweka kwenye affidavit ), halafu hebu tutajie sheria inayotumika kutoa hizo affidavit
-
Wewe ni msomi ila vitabu vyako bado havijakusaidia kitu, ndo maana hujanielewa, ngoja nikuulize swali jepesi sana, Kwa mfano wewe ni mwanasheria registered una muhuri, ukihitaji affidavit yako mwenyewe au ya mdogo wako au ndugu na rafiki itakugharimu Bei gani elekezi!??, Si hata bure?!!??, Hiyo ndo point yangu ya msingi, kwahiyo aliyesema elfu 10 usimbishie. Pale gongo la mboto(Mombasa) ofisi za NIDA, upande wa pili kama mita 100 hivi Kuna ofisi za serikali za mitaa, pale Kuna stationary ukitaka affidavit ni 7000 na ku certify copy yoyote ni 7000,wapo kitambo na Wana wateja kibao daily Kama unabisha nenda. Narudia, msiishi Kwa kukariri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom