'Nimeitwa na Lukuvi, kabla sijaenda nikasaini'-filikunjombe

Nakutakia safari njema kamanda DEO. Hivi wako wapi akina Kilango!!!! walizibwa domo na nini? amepewa nini?. Tusema kuanguka kwake ndo kuinuka kwa huyu bwana Filikunjombe!!!!. Kilango sahau 2015 tumegundua janja yako richmond ilikuwa na maslahi binafsi kwako ndo maana tangu richmond hujawahi kuonyesha kama msimamo wako ni endelevu!!!
 
Lukuvi Vangimembe ameniudhi sana,,unamwitaje mtu kumwambia asisaini?kwann ana influence mamuzi/utashi wa wengine?wako wapi wana Isimani?wanasubiri nn kumponda mawe huyu?
Huu ndio unafiki wa makulumbembe, yaani una influence maamuzi ya wenzako. Njaa ya Lukuvi itafika mwisho soon. Atafutwe mbadala haraka sana na aanze kupasha misuli kumuondoa huyu kibaraka pale Isimani. EL please tuma kijana akaongee na wale wamasai wamshughulikie huyu kibaraka. Deo go on, rejea maongezi yetu pale dukani kwako benjamin Mkapa Tower, determination and integrity are the priorities for freedom
 
Mh.Deo wellcome back to CDM,una damu ya watanzani wanyonge,una damu ya CDM... yr sign worths much!

Acha ushamba wewe..
Watu wanajadili maswala ya Taifa,,wew unaleta uchama...
Huo ni utuntunyusofikilo...
 
Mh. Deo awe makini sana na vyakula, maji, mashuka, na mike atakazotuia kwanzia sasa. Please bado tunahitaji ila sio siri hako kainchi ndani ya Pwani ya Afrika mashariki kanaongozwa na Mafioso kwa muda mrefu sasa.
 
Deo anajua jinsi serikali ilivyoisahau ludewa yetu. Umeme uliopo ni kwa hisani ya kanisa, liliona huruma na kuleta huduma hiyo. Na kuna tahira mmoja humu JF alihoji kuhusu umeme huo wa kanisa, wakati yeye kazaliwa hapo ilala, serikali inapakumbuka kwa kila jambo!
 
Hii ndio maana tunasikia wapo mawaziri walengwa walitaka kujiuzulu lakini wakashauriwa na Hawa ma-bwana ushauri kua hakuna haja ya kujiuzulu. Tatizo la viongozi wengi wa afrika hujiona kwamba nje ya wao hakuna watu wengine wanaofaa kua viongozi. mfano Mugabe
 
Hii ndio maana tunasikia wapo mawaziri walengwa walitaka kujiuzulu lakini wakashauriwa na Hawa ma-bwana ushauri kua hakuna haja ya kujiuzulu. Tatizo la viongozi wengi wa afrika hujiona kwamba nje ya wao hakuna watu wengine wanaofaa kua viongozi. mfano Mugabe

pia wanaamin wao ndo walaj zaid ya wengne
 
Mungu mkubwa kila jambo lina wakati wake,ni kweli nchi haitaji unduminakuwili,big up sana Fili kwa kuendeleza ukweli aliouacha marehemu Horace Kolimba
 
jamaa kastuka, ok, though its almost morning, jifunikefunike shuka, somehow baridi isikuumize sana, but 2015 is so near, only 3 hrs
 
Huyu luvuvi nadhani anamatatizo yake unajua hakuamini baada ya kutupwa kutoka kwenye uwaziri mpaka ukuu wa mkoa then kurudi kundini. Nae kikwete sijui huwa anapata ushauri kutoka wapi? Aagh, hii ndio mijitu inayomfanya ajumuishwe kwenye majitu ya namna hii. Mkuu wa nchi tafakari na ufukuze hii zero brain am sure hata mkikaa kwa kahawa ya jioni sijui anaongea nini nawe! Hamna kitu hapo yani hamuendani kabisa kwa lolote labda hewa ya bure tunayovuta.
 
Jk mbna hasomi alama za nyakat? alitakiwa arudi haraka
 
Back
Top Bottom