Nimeitwa kwa ajili ya graduate recruitment holliday inn hotel

kine

Member
Jul 12, 2011
38
6
PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.
 
mbona kimya kimya jamani?mbona hatuambiani
PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.
 
Kuwa muwazi kidogo umeshafanya interview au yaani wamekuitaje explain kidogo
 
Jiandae na interview kama tuta hivi tena wataanza kukushtua na aptitude test.
 
hata mie nimepigiwa simu leo. tatizo sikumbuki hawa jamaa wanadili na kazi za aina gani nakumbuka nilwah tuma cv kitambo kidogo. mwenye details zaid anifahamishe. nisije poteza muda tafadhali
 
Dah yaani wewe kazi umeshakosa,, yaan unaenda kufanya interview proffessional firms hujui hata wanachofanya,, sasa uliombaje?? Please dogo google haraka, maana ili upate kazi kwa hao watu u need to be smart a lot...

I am working with among big 4, so jiandae na hata ukipata mchakamchaka wa job lazima kichwa kikae sawa,, but wenzako tunakomaaaaa maisha yanaenda
 
kujiandaa sio tatizo naweza kujiandaa na isitoshe wameniambia naenda kwenye training tu na niende na note book tu. tatizo sikumbuki hawa jamaa wana dili na mambo gani. kama vip nisije poteza muda siku ya ijumaa.hata lile tangazo nimelitafuta sijalipata. kama kuna mtu analo tafadhali anisaidie.
 
kujiandaa sio tatizo naweza kujiandaa na isitoshe wameniambia naenda kwenye training tu na niende na note book tu. tatizo sikumbuki hawa jamaa wana dili na mambo gani. kama vip nisije poteza muda siku ya ijumaa.hata lile tangazo nimelitafuta sijalipata. kama kuna mtu analo tafadhali anisaidie.

Kwa uelewa wangu mdogo siku ya Ijumaa Holiday Inn ya pasta-dar huwa inatumika kutoa seminar kwa wajasilia inayotolewa na haya makampuni ya kuuza bidhaa ya FOREVERLIVING kwa watu ambao Exceptional kidogo na walalahoi kama mimi huwa tunakuwa pale millenium tower_Makumbusho so mkuwa makini bro.
 
pwc ni kifupisho cha Price Waters Coopers zamani walikuwa wanajiita Cooper Lybrand... Ni Wakaguzi wa Mahesabu Auditors
ni Private Company wapo kibiashara zaidi na kazi wanapigisha balaa nenda ukajishikize kwa muda kwani CV yako itapanda na vikampuni vingi vinamezea sana watu wa hapo.... Bingo hilo Office Zao Zipo International House. Dadio
 
Last edited by a moderator:
pwc ni kifupisho cha Price Waters Coopers zamani walikuwa wanajiita Cooper Lybrand... Ni Wakaguzi wa Mahesabu Auditors
ni Private Company wapo kibiashara zaidi na kazi wanapigisha balaa nenda ukajishikize kwa muda kwani CV yako itapanda na vikampuni vingi vinamezea sana watu wa hapo.... Bingo hilo Office Zao Zipo International House. Dadio

so hawa PWC ni watz?
 
Last edited by a moderator:
[h=1]PricewaterhouseCoopers[/h] From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
"PWC" redirects here. For other uses, see PWC (disambiguation).


PricewaterhouseCoopers (trading as PwC) is a multinational professional services firm headquartered in London, United Kingdom.[SUP][2][/SUP] It is the world's largest professional services firm and the largest of the "Big Four" accountancy firms measured by 2012 revenues.[SUP][5][/SUP]

PwC has offices in 771 cities across 158 countries and employs over 180,000 people.[SUP][4][/SUP] It had total revenues of $31.5 billion in FY 2012, of which $14.9 billion was generated by its Assurance practice, $7.9 billion by its Tax practice and $8.7 billion by its Advisory practice.[SUP][4][/SUP]
The firm was formed in 1998 by a merger between Coopers & Lybrand and Price Waterhouse.[SUP][1][/SUP] The trading name was shortened to PwC in September 2010 as part of a major rebranding exercise.[SUP][6][/SUP]
As of 2010 the US PwC firm was the seventh-largest privately owned organization in the United States.[SUP][7][/SUP]
 
PWC wamenipigia simu wakiniarifu kuhudhuria graduate recruitment itakayofanyika siku ya ijumaa saa 8.00 mchana holliday inn hotel.Wana jf mwenye dondoo zozote za hawa PWC azianike.

Personality, behaviour and IQ test ndio za kuanzia, hapo watapata shortlist ambayo sasa wataendelea nayo kwa interview inayohusiana na kazi wanayoitaka.

Specifically jina la hizo test limenitoka kidogo, unaweza uka-google na kuona aina ya maswali ambayo huulizwa kwa ajili ya kuchuja personality, behaviour na IQ za watu.

Kila la kheri.

Dadio
 
Last edited by a moderator:
Hawa jamaa wakikuita utafanya kitu mlolongo kidogo wa vi-assesment utaanZa na online assesment kucheck your attributes kwenye kazi, then aptitude test hapa lazima uwende kwenye venue ambayo watawatajia location yake halafu oral interview ya kwanza mara nyingi hii ni kucheck ulichokisoma na utafit wapi kwenye nafasi zilizopo, nyingine na ya mwisho hii unakutana na big bosses sasa ambayo ni oral nayo ukipita hapo kazi tayari
 
Dah yaani wewe kazi umeshakosa,, yaan unaenda kufanya interview proffessional firms hujui hata wanachofanya,, sasa uliombaje?? Please dogo google haraka, maana ili upate kazi kwa hao watu u need to be smart a lot...

I am working with among big 4, so jiandae na hata ukipata mchakamchaka wa job lazima kichwa kikae sawa,, but wenzako tunakomaaaaa maisha yanaenda


Kaka naona unaweza kuwa msaada hata kwangu,sikuzote huwa naishia kusikia tu watu wanaitwa interview mbali na kujitahidi kutuma application kwa wingi niwezavyo.
vipi mzee unaweza ukawa mwokozi wangu hapa kwa kunipa update about job trainings firms za finance industries which
you thing i can meet my goal one day to have Job.My professional is Finance business in accounting...Adv.Diploma level
regards

Mtafutaji.
 
pwc ni kifupisho cha Price Waters Coopers zamani walikuwa wanajiita Cooper Lybrand... Ni Wakaguzi wa Mahesabu Auditors
ni Private Company wapo kibiashara zaidi na kazi wanapigisha balaa nenda ukajishikize kwa muda kwani CV yako itapanda na vikampuni vingi vinamezea sana watu wa hapo.... Bingo hilo Office Zao Zipo International House. Dadio
pwc wameshahama international house kitambo wapo obay siku hizi
 
I get so skeptical na graduate wa siku hizi na aina ya maswali wanayouliza. Mtu amemaliza degree na anashinda internet cafe au kwenye facebook lakini basic things hajui kabisa. Oh Jamani Tanzania yetu, tuwe tayari tu kuchukuliwa kazi na wakenya.

sio dhambi kutojua PWC wanafanya nini but why dont u take the trouble kugoogle na kusoma in brief wana kazi gani. HAta application etiquttes na personal skills hamna tena. If I was the recruting manager and I know who posted this- ni automatic disqualification Seriously!!
 
  • Thanks
Reactions: hbi
Back
Top Bottom