KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimesikitika kwa maelezo eti wa South Africa hawana vifaa vya kuokolea maiti waliozama na meli!
Hapa nikiini macho kwani walijua kwamba wakiwatoa wale maiti itakuwa ni aibu kwa serikali!Maana maiti ninyingi sana wameamua kuzipotezea sikingine!
ndo serikali tuliyonayo watendaji wake hawawajibiki!!Jiulize kwa nini katika ndege hawasimamishi abiria??Kwanini kwingine wasimamishe abiria mpaka chombo kinazidiwa na uzito??Usimamiaji wa sheria mbovu.
Hapa nikiini macho kwani walijua kwamba wakiwatoa wale maiti itakuwa ni aibu kwa serikali!Maana maiti ninyingi sana wameamua kuzipotezea sikingine!
ndo serikali tuliyonayo watendaji wake hawawajibiki!!Jiulize kwa nini katika ndege hawasimamishi abiria??Kwanini kwingine wasimamishe abiria mpaka chombo kinazidiwa na uzito??Usimamiaji wa sheria mbovu.