Tangazo la kuoa Jf halafu waliokufuata PM hukupendezwa nao?🤔nikafikiria kuoa, niliwahi pia kuja kuweka tangazo huku jf
Ningesema agriculture wengi wasingekuja. Tunchukuliwa Sana powa tulioaoma agr.Kwenye huu Uzi Natafuta Mke, Kwa aliye Serious Naomba Tuwasiliane ulisema umesomea Shahada ya Uhasibu
Na kwenye huu Uzi unasema umesomea Shahada ya Agriculture
Ohh Alko? Yule mhaya? Hongera....Soko ninalo hapa hapa kutoka kwa mtengeneza wine mkubwa
Hiyo niliweka kimalengo zaidi, huo Uzi Mimi mwenyewe ninao na ningeweza my edit kabla hata ya kuja kuweka huuView attachment 1777336
kwenye uzi wako huu mwingine unasema
1. Una degree ya uhasibu
2. Umeajiriwa kwenye taasisi wa kimataifa
halafu uzi wako wa leo unasema
1. Umesomea agricultural science
2. Ulifanya kazi kwenye kampuni
Hizo chai za JF za moto sana
Nilisema uhasibu kwa kuwa wengi hawatuelewi kabisa tuliosomaa agricultureNgoja kwanza aje kukujibu,mda mwingine humu ndani nahisi kuna watu na majini.Ujanja ujanja kila kona hapa waeza kuta mtu anatengenezwa ili apigwe ha ha ha
Na ungesema pia ulikua Tinde isingenoga maana wanapachukulia poa sana,ukaona bora useme zako Ireland tu mzee baba.Ningesema agriculture wengi wasingekuja. Tunchukuliwa Sana powa tulioaoma agr.
Visa nauli na jinsi ya maeneo rahisi ya kuishi DublinMchongo gani unataka? Zabibu au wa Dublin?
Unge edit wkt watu wameshaku quote na org content yako?Hiyo niliweka kimalengo zaidi, huo Uzi Mimi mwenyewe ninao na ningeweza my edit kabla hata ya kuja kuweka huu
Nilisema mhasibu ili kurahisisha zoezi, wengi hawatuelewi kabisa tuliosoma agriculture
Wazee wa Social Auditing wameshafanya kazi yao bila malipo 😂😂😂 mtu kabakia na chupi la TMKWAHAKIKI MMEANZA KUFANYA KAZI YENU