MUBIKU
JF-Expert Member
- Oct 24, 2014
- 276
- 376
Wadau Leo nimetoka kuchat na shemeji yenu ambae tumedumu miaka 5 ya uchumba.
Kila mru akiishi geto lake leo ktk chatting zetu , mtoto imebidi afunguke amechoka kukaa uchumba kwa muda mrefuu anasema nisipomuoa mwakani nisimlaumu.
Mbali na changamoto za kimaisha ila kikubwa analalamika sisaidii ndugu zake.
Wakuu mliowahi kupitia changamoto kama yangu naomba mnijuze hatua mlizochukua
Kila mru akiishi geto lake leo ktk chatting zetu , mtoto imebidi afunguke amechoka kukaa uchumba kwa muda mrefuu anasema nisipomuoa mwakani nisimlaumu.
Mbali na changamoto za kimaisha ila kikubwa analalamika sisaidii ndugu zake.
Wakuu mliowahi kupitia changamoto kama yangu naomba mnijuze hatua mlizochukua