Elections 2010 Nimeipende hii

zacha

JF-Expert Member
Feb 28, 2009
1,189
1,828
mambo yameiva.....
 

Attachments

  • 28539_451587800952_619360952_6035454_2901343_n.jpg
    28539_451587800952_619360952_6035454_2901343_n.jpg
    87.5 KB · Views: 63
Kaka kikubwa ni kuondokana na mazingaombwe ya CCM na kukubali kuvaa akili mpya ya kimapinduzi zaidi na sio ya kubahatisha bahatisha, ni kuwahurumia hao, usiwaombee, utawaombea kwa nani? mtu kazaliwa anaijua ccm, katolewa mahari na ccm,! kazi tunayo tena kubwa!
 
Back
Top Bottom