Tungeanza hivi tangu mwanzo tungekuwa mbali sana... migomo ya kutoka nje ya Bunge na maandamano yalituchelewesha sana.. hata hivyo hatua tuliyoifikia ni nzuri.
Siasa sio ugomvi,Dk Slaa alishawahi kusema maaslahi ya Taifa Kwanza,JK nae ameshasoma alama za nyakati kuwa akiwang'ang'ania watu kama Nape na Mzee Mkama nchi itaenda kubaya,si umeona Muswada wa katiba JK alivyowapinga chenga vichwa maji wakina Nape na Babu yake Mkama?TANZANIA KWANZA JAMANI!
KAMA KWELI KUNA HOJA YA NAMNA HIYO TOKA KWA DOKTA SLAA,inabidi ifanyiwe utafiti,itakuwa na jinai kwa wanaojua kusoma katikati ya mistari,hakuna kama... kwa ujinga,hakuna kama ... kwa uzembe,hakuna kama... kwa ujanja,hakuna kama... ni nyingi mno ambazo ni +ve na -ve,kwa nimjuavyo dr slaa sijui kama hamna kama... ni sifa kwa jamaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.