MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,974
- 785
source: mwanahalisi, jana Jumatano 25/1/2012 ukurusa wa pili Aya ya mwisho.
Dr Slaa alinukuliwa akimueleza Rais kikwete ".....nimekuja kukuona Mheshimiwa Rais, maana watu wanasema kuwa mimi nimekukimbia. Nikukimbie kwa nini?" alisema Dr Slaa, huku wajumbe waliokuwepo wakiangua kicheko.
Naye Rais Kikwete, akijibu hoja ya Dr Slaa alisema "..... hawa akina michuzi ( akimnyooshea mpiga picha wa Ikulu, Muhidin Issa Michuzi) wanapenda kutia chumvi".
mara baada ya kauli hiyo ya Dr Slaa na majibu ya Rais Kikwete, mkutano ulianza rasmi.
My take: Dr Slaa kutumia neno Mheshimiwa Rais ni kauli nzito ni mwanzo mzuri wa safari ndefu ya kufikia muafaka.
Mods iache thread hii kwenye jukwaa la siasa.
Dr Slaa alinukuliwa akimueleza Rais kikwete ".....nimekuja kukuona Mheshimiwa Rais, maana watu wanasema kuwa mimi nimekukimbia. Nikukimbie kwa nini?" alisema Dr Slaa, huku wajumbe waliokuwepo wakiangua kicheko.
Naye Rais Kikwete, akijibu hoja ya Dr Slaa alisema "..... hawa akina michuzi ( akimnyooshea mpiga picha wa Ikulu, Muhidin Issa Michuzi) wanapenda kutia chumvi".
mara baada ya kauli hiyo ya Dr Slaa na majibu ya Rais Kikwete, mkutano ulianza rasmi.
My take: Dr Slaa kutumia neno Mheshimiwa Rais ni kauli nzito ni mwanzo mzuri wa safari ndefu ya kufikia muafaka.
Mods iache thread hii kwenye jukwaa la siasa.