Nimeipenda hii toka kwa January Makamba on twitter

QUOTE=Raia Fulani;3691411]Basi nitakuwa naleta nukuu za Dk Slaa na Nyerere. Kuwa na phobia na mtu isiwe kigezo cha kuchukia pia kile anachoamini. Kimsingi tusihame kwenye mada husika. Unaichukuliaje hii nukuu?

Hujanitendea haki RF kwa jibu lako, sababu point yangu umeielewe vizuri sana......
Ok sikuwa na lengo la kuharibu uzi wako, kila la kheri kwenye mjadala huu![/QUOTE]

JG sijui kama unajua impact ya unachokiongea. Kwamba kama watu waliandika kwenye page na sites zao huko kwenye mitandao mingine basi visiletwe hapa kwa kuwa hawakubandika hapa kwanza. Vyanzo vya habari zinazojadiliwa hapa jf ni wapi? Kwa nini watu humu huwa wanadai vyanzo vya taarifa na habari? Mathalani Raia Mwema imepost habari yake kwenye tovuti yake. Kwa kuwa hawakuipost hapa jf basi isiletwe hapa? Unakosea sana mkuu. Nadhani hukufikiria hivi
 
The problem of simple mind is prevalent and rampant. Tunaposhindwa kudaka mada husika tunakimbilia kwenye mashambulizi ya haiba. Nilidhani tungejadili A better country inapatikanaje amidst the whole political turmoil. Hii nukuu yake ina uhalali gani katika mazingira aliyopo yeye? Chama tawala kinafikiria a better country kama vile wapinzani tunavyoamini wanafikiria? Haya ndio mambo ya kujadili

Are you trying to say that we are simple minded, really January? The only way we can make Tanzania better is getting rid of people like you and the rullining CCM through ballot box. You are too much showoff guy. Hovyo kweli life father like son kuropoka kama kawa
 
Yupo nina uhakika 90%. anataka kutuhubiri bila kutueleza mamilioni aliyochukua mgodini kipindi cha uchaguzi anayalipa vipi. Mtoto wa fisadi Yusuf

Toka lini fisi akazaa mbuzi? Akihama chama huenda tukaanza kumwangalia kivingine
 
Huyu dogo ni fighter but on the wrong side of the battle field

by any stds huyu si fight bali ni a good opportunist kwa vigezo vyote. and he is completely out of touch. he is then in his rightful battle field. ubunge wenyewe wa kupita bila 'kupingwa'. A fighter on a readily available opportunity? tuache utani ndg zangu
 
The problem of simple mind is prevalent and rampant. Tunaposhindwa kudaka mada husika tunakimbilia kwenye mashambulizi ya haiba. Nilidhani tungejadili A better country inapatikanaje amidst the whole political turmoil. Hii nukuu yake ina uhalali gani katika mazingira aliyopo yeye? Chama tawala kinafikiria a better country kama vile wapinzani tunavyoamini wanafikiria? Haya ndio mambo ya kujadili
Huu ni ujumbe kuwa kiongozi lazima afanane na maneno yake..he/she should walk the talk...

Ujumbe mzuri uliozungumzwa na mtu mwovu mara nyingi unakataliwa kama yeye alivyokataliwa na jamii yake
 
Huu ni ujumbe kuwa kiongozi lazima afanane na maneno yake..he/she should walk the talk...

Ujumbe mzuri uliozungumzwa na mtu mwovu mara nyingi unakataliwa kama yeye alivyokataliwa na jamii yake

mtu mwovu anapimwa kwa kipimo gani? Kwa kuwa wewe ndi mwanachama wa jukwaa letu pale 2nd 2 last, waweza kusema uovu wa Yesu ambao wayahudi walimshitaki nao?
 
Back
Top Bottom