Nimeipenda hii picha! Gazeti la Tanzania Daima leo.

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,170
23,861
20170224_081646.jpg

Gazeti la Tz Daima leo front page.
"Karibu mwai, karibu CHADEMA" ni kama vile namsikia Freeman.
Ila jicho kkhhaaaa!
 
Sasa vile vitu vinavyofanya watu waandamane si vimepigwa tanchi mtaani? ile kitu ya handas haiingii tena kutoka machakos, ile kitu ya Arusha ndio hivyo tena inafyekwa hukohuko kwenye mashamba, ile kitu nyingine ya majimaji inayowekwa kwenye finfuko nasikia vimetungiwa sera ya kuvifuta, ile kitu ya arosto ndio kabisaa imepotea sasa huko zile shamrashamra zinazoambatznz na hayo makitu.............??????/
 
Ujinga mtupu! Tumekuwa kaa jalala! Of all the people,Wema?????

Huyu ambaye akipewa kitita tu atarejea CCM huku akiwaachia chadema kashfa kedekede?

Kwa nini chadema hawajifunzi?
Yu wapi Jacqline wa Lowassa,mbwembwe zote at the end karejea CCM.

Ogopa sana wasanii wanaoishi kwa usanii
CCM wanapewa hela,je chadema watapata?Bila shaka ruzuku haitoshi and so hawatapata kabisa
sasa wanategemea watakuwa naye?

Subiri matatizo yake yakiisha tu atarejea kwao huku akiacha kashfa za ukanda na udini
 
Wakati nyie bongo movie mnashangilia wema kuingia kwa mbwembwe chadema wenye akili timamu wanakuna kichwa..hawaelewi mustakabali wa hiki chama..yaani teja kukaribishwa kwa mbwembwe zote..wakati magufuli yuko bize kusajili maprof na drs kutoka udsm kutumikia chama na serikali yake..msipojiangalia vizuri mtajikuta mmebakiwa na mateja, mafisadi, wanywa viroba na makahaba kisha mtataka mpewe nchi..
 
acheni wivu jamani kumbukeni wema ana wafuasi wengi wanaompenda wengine wako nyuma yake kumfata, mbona alipokuwa huko upande wa pili, mbona amkusema yote aya watu povu linawatoka kisa tu wema kaenda cdm
 
Kwani malaya awapigi kula jamani, acheni ulofa na wivu jamani kumbukeni wema ana wafuasi wengi wanaompenda wengine wako nyuma yake kumfata, mbona alipokuwa huko upande wa pili, mbona amkusema yote aya watu povu linawatoka kisa tu wema kaenda cdm
Kumbuka hao wafuasi ni wa film..sio wanasiasa..wala hawajui chochote kuhusu siasa za wema zaidi ya filam za wema..kama ndio mna fikra kama hizi basi chadema imeanza upya msingi wa nyumba..
 
Ujinga mtupu! Tumekuwa kaa jalala! Of all the people,Wema?????

Huyu ambaye akipewa kitita tu atarejea CCM huku akiwaachia chadema kashfa kedekede?

Kwa nini chadema hawajifunzi?
Yu wapi Jacqline wa Lowassa,mbwembwe zote at the end karejea CCM.

Ogopa sana wasanii wanaoishi kwa usanii
CCM wanapewa hela,je chadema watapata?Bila shaka ruzuku haitoshi and so hawatapata kabisa
sasa wanategemea watakuwa naye?

Subiri matatizo yake yakiisha tu atarejea kwao huku akiacha kashfa za ukanda na udini
kwani chadema hampokei wanachama wapya?
tatizo ni nn hata akiwa wema?
 
Bongo movie hadi kwenye siasa zetu zinaendelea kila sishangai maana ndio maigizo yenyewe hayo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom