Nimeipenda falsafa ya Rais Samia ya Watendaji kutumia akili badala ya nguvu. Je, CCM wamemuelewa?

Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.

Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.

Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu

Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.

Nk.....nk....nk!

Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.

Maendeleo hayana vyama!
Saaaaaanaaaaa.......
 
Kwani kama inajulikana kabisa kuwa sheria za uwekezaji ni kandamizi na zinafukuza wawekezaji, sasa ugumu wa kuzifuta unatoka wapi?
Kila zama na kitabu chake.
Kama nimemskia mama vizuri ni kwamba amesema ndani ya miezi hii 3 anajua kutashuka ukusanyaji wa kodi hii ni baada ya wawekezaji kukimbia sasa, inategemea miez sita watarudi na watawekeza ,so anajua vzr kwamba sheria kandamizi ndo zilipelekea wawekezaji kuondoka.
Lakini ni vizuri kuwakaribisha kwa sababu demokrasia yetu iliyumba,uwekezaji wetu uliyumba .
Sasa tunatembea
 
Hahahahahahah endelea kumeza dawa zako Bwashee. Uko vizuri, kila unapomeza dawa huandiki yale madudu yako hahahahaha
Nimeielewa sana falsafa ya Rais Samia kuwataka watendaji wote kutumia akili badala ya nguvu wakati wa kutekeleza majukumu yao ya kuwatumikia wananchi.

Kwa mfano kumfukuza Tundu Lissu bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.

Kumsimanga Prof Assad ni matumizi ya nguvu

Kuwaingiza akina Nusrat Henje bungeni ni matumizi ya nguvu badala ya akili.

Nk.....nk....nk!

Hakika awamu ya 6 na mambo mapya hakuna kuoneana.

Maendeleo hayana vyama!
 
Back
Top Bottom