Mzee wa kusawazisha
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 1,587
- 1,136
Leo nilikua na mlolongo mrefu nimeanza Tigo shop, Airtel shop, kisha TRA. Lengo nipate miongozo na hatua za kupata laini za wakala.
TRA sehemu ya mwisho kupita nimeambiwa kwanza nipate TIN mengine yatafuata, lakini mimi lengo nipate gharama za awali ili nianze na michakato maana bajeti ni muhimu, jamaa alilipa laki na nusu.
Najua humu kuna wazoefu wa hizi kazi na wapo wamepitia huko. Naombeni mnihakikishie bei sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app
TRA sehemu ya mwisho kupita nimeambiwa kwanza nipate TIN mengine yatafuata, lakini mimi lengo nipate gharama za awali ili nianze na michakato maana bajeti ni muhimu, jamaa alilipa laki na nusu.
Najua humu kuna wazoefu wa hizi kazi na wapo wamepitia huko. Naombeni mnihakikishie bei sahihi
Sent using Jamii Forums mobile app