Mgonga Like
JF-Expert Member
- Mar 30, 2015
- 1,250
- 1,641
Kwanza pongezi kwa uzinifu mkuu, pili tunaomba ulipie tangazo lako sasa
Tuma na ya kutolea😂😂kwanza pongezi kwa uzinifu mkuu, pili tunaomba ulipie tangazo lako sasa
Happy Women's Day sonNACHEKA PEKE YANGU MPAKA RATIBA INAANZA KUVURUGIKA HAPA GHETOMAANA HUU UZI HAUISHI HAMU
Rudi uncle!
AyaHaya nimerudii kujua jipyaa
We Acha fujo msaidie kijana WA watu kampenda mlokole
🏃🏃🏃🏃🏃Tofautisha kupenda na kutamani huyo anatamani mlokole Wala hampendi.
kiru!Kuna mlokole alikuwa kila akiombewa mapepo yanalipuka alafu alikuwa healing team wenyewe wanaita.
Nna mshkaji wangu akamtamani akafanya yake akamla basi bro akaniletea mrejesho yani mwanangu nimeingiza nikatoa nikaingiza nilipotoa na wazungu hao nilimcheka mpaka basi.
Mimi nae na akili zangu mbili nikaanza kummendea mpaka nikamla😁😁. Mbarikiwe wote
hamuonewiHivi kwanini walokole hua wanachukuliwa ni washamba kwenye mapenzi?
Yani kama ni wazito hiv?
Au tunaonewa?
Unamjua Rose Shaboka wewe?Hivi kwanini walokole hua wanachukuliwa ni washamba kwenye mapenzi?
kwasbabau Mungu wetu ni pendoUnamjua Rose Shaboka wewe?
Ni mshamba ktk mapenzi?
Nikuambie walokole ndio vinara wa kujua mapenzi.
Sisaligi kwa Aunty kwa sababu kuna mademu wanatia majaribuni wanaume kwa mifungasho yao ya wowowo.naona unasali kwa aunty!
sasa shida ni majaribu au wowowow?Sisaligi kwa Aunty kwa sababu kuna mademu wanatia majaribuni wanaume kwa mifungasho yao ya wowowo.
Sipendi kuingizwa majaribuni kizembe mie 😂
sawa sawakama unafukuzia mlokole na wewe uwe mlokole....
usiende ende tu....
Shida ni vyote viwili.sasa shida ni majaribu au wowowow?
ALL TRUE, SO UNASALI KWA ANTIShida ni vyote viwili.
Wowowo likisha tiwa machoni pa mwanaume husafirishwa hadi kwenye mishipa ya fahamu then linaingizwa moyo, baada ya hapo jaribu la kuzini linafanyiwa kazi.
Usisahau Yesu alisema "kila amtazamaye mdada na kumtamani teari amekwisha kuzini naye....."
Hiyo ndiyo sababu sipendi kuingia huko. 😃