Alphonce Mawazo
R I P
- Sep 10, 2013
- 335
- 471
CHADEMA family wamenipokea vizuri,wasiwasi tulionao juu ya Zitto saga ni wa bure,wanashangaa ninapowauliza hali ya hewa kisiasa,kazi iliyopo kuanzia kesho ni kumchapa huyu Tikiti maji Mpina ambaye mara anajifanya mwanaharakati wakati anaogopa kupoteza mafao,anataka kuja CHADEMA baada ya bunge kuvunjwa rasmi,nani kamwajiri amjengee?atausikia mziki wa m4c.
Ombi langu ni kwa wapenzi wa mabadiliko wote kuni -support km wanarorya walivyofanya juzi jimboni kwao,kwa pamoja tunaweza.
Ombi langu ni kwa wapenzi wa mabadiliko wote kuni -support km wanarorya walivyofanya juzi jimboni kwao,kwa pamoja tunaweza.