Nimeingia cha KIKE

Liverpool

Member
Dec 8, 2010
29
0
Wakati nikitafuta kivuli ili nijisitiri kwa jua hili kali nimejkuta nimekalia kuti kavu baada ya kupendwa na shemeji yangu.Kisa hichi kimetokea baada ya kupeleka maombi JF kumbe shem nae ni mdau mkubwa wa janvi.Sasa ugomvi mkubwa kwa wapenzi hao haushikiki nashindwa hata kumwangalia shem usoni make alivyojidekeza kabla hajajua kua mi ni nani?
 
Wakati nikitafuta kivuli ili nijisitiri kwa jua hili kali nimejkuta nimekalia kuti kavu baada ya kupendwa na shemeji yangu.Kisa hichi kimetokea baada ya kupeleka maombi JF kumbe shem nae ni mdau mkubwa wa janvi.Sasa ugomvi mkubwa kwa wapenzi hao haushikiki nashindwa hata kumwangalia shem usoni make alivyojidekeza kabla hajajua kua mi ni nani?

Kwanza kabisa, hueleweki!...Maelezo yako hayako clear kabisa, inahitaji miwani kupata!

Lakini pia hapo kwenye red, ulipeleka maombi ya nini JF?...ya mchumba?...ya kuwa member?
Pia hapo kwenye bluu, wapenzi hao ni akina nani?...shem yako na mkewe, au wewe na shem yako?
Lakini kama wewe ulienda kumsemelea shemiji yako kwa mkewe, basi hufai kuwepo hapa!
Weka sawa maelezo ukitaka michango!
 
Post yenyewe ya 1 ulipeleka maombi lini?

Mwambie ......hii ni The home of Great thinkers. Liverpool JF Sio kijiwe cha wahuni lete post za maana au za kuchangamsha co kupoteza muda KARIBU
 
We ulitaka uingie cha kiume? Hukusoma maandishi ya Ladies na Gentlemen??? We kwanza muongo sana post ndo ya kwanza halafu unasema ulileta maombi JF we kijana hebu taratibu aisee sie watu wazima usitufanyie mchezo kama umesikia wewe allahhh
 
Dena amsi bila shaka ndo anajfunza 2msaidie jamani ili awe sambamba c unajua 2najfunza kutokana na makosa
 
Dena amsi bila shaka ndo anajfunza 2msaidie jamani ili awe sambamba c unajua 2najfunza kutokana na makosa

Anadanganya wazee hana adabu huyu atulie kwanza halafu ajifunze ndo atuletee uongo wake Kokudo tumsaidiaje?
 
Jamaa msanii kweli. Ukiwa muongo usiwe msahaulifu, alisahau kwamba hajawahi kupost chochote.
 
Krokwini mbona mkali kama jina lako!hakuna aliyezaliwa akijua wote 2najifunza na kila mmoja uelewa wake n tofauti come down.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom