Habari wanajamvi. Kuna wimbo huu nimeufanya Home Studio. Nipo mbele yenu kuomba ushauri wenu kama naweza kuimba au siwezi nirudi kijijini nikalime.
Kama utatokea kupenda nilichofanya usisahau KuSubscribe Youtube Channel yangu na kama Hutapendezwa kuwa wazi kuniambia nilipokosea.
Asanteni sana
KUIMBA UNAJUA ILA MI NAKUSHAURI KUIMBA KISWAHILI FASAHA, toa maneno kama kaniambiaga n.kNini cha ajabu hili ni jina la Ukoo wangu ndugu
Kiraza???ID yako sijaipenda