Wajuzi naomba mniambie inamaana pamoja na kusifiwa kote kule kwamba India wako njema kwenye reli kumbe hata High Speed train walikua hawana?
Yote kwa yote Nimeipenda hiyo mwendo kasi yao, nadhani na sisi (TZ & KE) Tulipaswa kuchkua kitu kama hicho.
Mmhh iwe kama hiyo !? Nitakufa mimiYah kitu cha ukweli sijui ya kwetu itakuwa kama hiyo mana atuchelewi kuletewa mitungi ya gesi aisee
Aaah ile mzee ni habari ingine, inatembea 350Kmph si mchezo mzeeKuna ile kitu ya Morroco, iliyo zinduliwa na President Manuel Macron na Mfalme wa Morroco last year, hiyo ndo ilikuwa yakuchukua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasikia hii habari mkuu, em naomba source tafadhali nipitie..Taarifa ikufikie mleta uzi kuwa: Treni hiyo leo imepata ajali baada ya kugonga ngo'mbe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli na nafikiri serekali ilisahau kutengeneza kingo kuzui uingiliaji wowote kwa hiyo treniTaarifa ikufikie mleta uzi kuwa: Treni hiyo leo imepata ajali baada ya kugonga ngo'mbe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi zetu za 140/60KPM Ni techonology ya karne iliyopita......Aaah ile mzee ni habari ingine, inatembea 350Kmph si mchezo mzee
Pole sana mkuu, itabidi ujiandae. Supplier amepatikana ni zaidi ya hiyo ya India.
Keep dreamingPole sana mkuu, itabidi ujiandae. Supplier amepatikana ni zaidi ya hiyo ya India.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Ikija kama hiyo mkuu,itakuwa imesaidia sana...safari itakuwa ni fast fastPole sana mkuu, itabidi ujiandae. Supplier amepatikana ni zaidi ya hiyo ya India.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Hiyo ya India imetengenezwa na ICF Chennai kampuni ya Ki hindi. ICF hawana uzoefu wa kutengeneza madude kama hayo, wenyewe wamezoea kutengeneza zile train za TRL. Hiyo train siyo mbaya ila bado, wa Hindi waendelee kujitengenezea vitu vya kujaribu kwanza kabla hawaja fika viwango. Mtu ambae hajui atakwambia hilo bonge la dude. Kitu kingine watu hawaelewi hizo train za chini ya 180km/hr bei yake siyo ki hivyo tatizo ushamba.Ikija kama hiyo mkuu,itakuwa imesaidia sana...safari itakuwa ni fast fast