Kiraka
JF-Expert Member
- Feb 1, 2010
- 3,838
- 3,081
MAALIMSEIF ni mpuuzi as ameshindwa kuonesha uwajibikaji kwa waziri tena wa chama chake kuzembea mpaka meli ikazama
Seif angemlazimisha waziri ajiuzulu au angeitumia CUF kumshinikiza waziri ajiuzulu
Maria
Kama ukiangalia huyo jamaa na wengine wengi CUF walitaka tu kupata ulaji Zanzibar kwa kupewa shavu na CCM, wamesababisha watu wengi wamekufa bure, angalia sasa walivyo, wanavimba mashavu tu na matumbo kwa safari za nje, ona wenzao wanavyoumbuka huku Bara, yaani aibu tupu!!
Lakini ndio hivyo, ukikubali kuolewa, usilale na ch***pi!