Julius Mtatiro
Member
- Jun 20, 2009
- 45
- 225
Helikopta tuliyoitumia kwenye uchaguzi wa Igunga nimeikodi mimi mwenyewe na wala haikumhusisha Jussa wala Hamad Rashid.
Haya masuala ya kuwa imetolewa na na ROSTAM AZIZ ni propaganda zinazopigiwa debe tu kama ilivyo ishu ya CUF IMEOLEWA NA CCM, CUF NI CCM B n.k.
Hizi ni propaganda zilezile za kuiumiza CUF lakini sie kama chama tutaendelea kuwa imara na kuwaelimisha wananchi juu ya propaganda hizi ambazo zinafanywa ili kuhakikisha CUF haiungwi mkono.
Nime-attach docs muhimu ambazo nilizi-process mimi mwenyewe kupata HELIKOPTA. Chama chetu kinapata ruzuku ya TZS 100m kwa mwezi, hatuwezi kushindwa kukodi helikopta kwa TZS 50m hadi tusubiri kufadhiliwa na makada wa CCM. Na tangu nimekuwa kiongozi wa CUF sikuwahi kuona tunafanya jambo lolote kwa pesa za kuletewa na matajiri.
Kinachoshangaza ni kuwa watanzania wakiandikiwa propaganda yoyote huanza kusihabikia na kuisambaza bila kujua nani aliyeileta na ana malengo gani na ikishafanya kazi itamnufaisha nani.
Pia, Baraza kuu la CUF halina mandate za kiutendaji, masuala yote ya kuidhinisha bajeti kubwa za chama au za dharura yanafanywa na KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA na baraza kuu litakagua taarifa kama kila kilichotumiwa na kufanywa na KUT ni sahihi na kilifuata masharti ya kibajeti ya chama.
Aliyeweka thread kuwa tumehongwa helikopta na CCM asome hizi docs and details na UONGO wake hataufanya siku zote.
Mtatiro.
Haya masuala ya kuwa imetolewa na na ROSTAM AZIZ ni propaganda zinazopigiwa debe tu kama ilivyo ishu ya CUF IMEOLEWA NA CCM, CUF NI CCM B n.k.
Hizi ni propaganda zilezile za kuiumiza CUF lakini sie kama chama tutaendelea kuwa imara na kuwaelimisha wananchi juu ya propaganda hizi ambazo zinafanywa ili kuhakikisha CUF haiungwi mkono.
Nime-attach docs muhimu ambazo nilizi-process mimi mwenyewe kupata HELIKOPTA. Chama chetu kinapata ruzuku ya TZS 100m kwa mwezi, hatuwezi kushindwa kukodi helikopta kwa TZS 50m hadi tusubiri kufadhiliwa na makada wa CCM. Na tangu nimekuwa kiongozi wa CUF sikuwahi kuona tunafanya jambo lolote kwa pesa za kuletewa na matajiri.
Kinachoshangaza ni kuwa watanzania wakiandikiwa propaganda yoyote huanza kusihabikia na kuisambaza bila kujua nani aliyeileta na ana malengo gani na ikishafanya kazi itamnufaisha nani.
Pia, Baraza kuu la CUF halina mandate za kiutendaji, masuala yote ya kuidhinisha bajeti kubwa za chama au za dharura yanafanywa na KAMATI YA UTENDAJI YA TAIFA na baraza kuu litakagua taarifa kama kila kilichotumiwa na kufanywa na KUT ni sahihi na kilifuata masharti ya kibajeti ya chama.
Aliyeweka thread kuwa tumehongwa helikopta na CCM asome hizi docs and details na UONGO wake hataufanya siku zote.
Mtatiro.