Gracious
JF-Expert Member
- Jul 12, 2011
- 1,890
- 1,082
Ahsante sana Julius kwa kuuweka Uwazi na Ukweli hadharani kiasi hiki, huu ndio mwazo wa ushindi wa kweli wa kidemokrasia kwani ina hadi kuifikia inamwendo mrefu na visiki vingi, usivunjike moyo wewe na Chama Chako endeleeni na jipangeni na mwishowe mtafika, CHADEMA ni Chama Kilichokosa fadhila na ihsani lau kama kingalikumbuka mchango wenu wa kuanzisha vugu vugu lakuitafuta Demokrasia Nchini Tanzania hadi kufikia kukata mbuga na milima na misitu na mapori yalioharimu damu na maisha ya Watanzania leo Wangalikuheshimuni kwa kuwa ni nyie ndio MABABA wa Demokrasia hapa Nchini lakini wapiiiii watizame CHADEMA walivyotokwa na haya na Ulafi uliowajaa na zaidi UCHAGA na UDINI ulivyowazonga na waonea huruma m,wisho wao hauko mbali ngoma ikivuma sana mwishowe hupasuka. Sisi tunaothamini misingi ya Demokrasia tunajuwa nyie ni Wapinzani wa Kweli na subirini nasi tushaanza kujikusanya kwa pamoja na kwa kuwa nasi tupo tanzania Nzima tunajipanga kiswa sawa Kuwashugulikia CHADEMA NA CCM Kuanzia katika vijiji, Kata, wilaya, mikoa yote ya TANZANIA Kuhakikisha 2015 hapa TANZANIA HAPANA CHADEMA WALA CCM
CDM Tunafanya hatulipi fadhila kama nyie na CCM.Nani hajui uroho wa madaraka unaowaandama ninyi na kina Hamad hadi kufikia hatua ya kutaka kupindisha sheria ili mue kwenye kambi rasmi ya upinzani???