Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,783
da...
kumbe tunatishia ehh kwa vimwana.
kumbe tunatishia ehh kwa vimwana.
Mi naona wanawasifu wasichana wetu wa Bongo, which i dont see any offence there!
We rather keep quite !
Vijana kwani tatizo liko wapi wakati wakenya wanasifia dada zenu?? Ukweli ni kwamba wanaume wa Kenya wanawapenda sana dada zetu, wanasema wanawake wa Tz ni humble si rungu mkononi kama wakenya.