geza mkali
Member
- Oct 13, 2017
- 13
- 3
Habari JF,
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha IFM, niliibiwa vyeti vyangu vya form six, pamoja na Laptop yangu katika begi, nilikuwa naulizia kuwa naweza kupata vyeti vingine kutoka NECTA?? kwa aliewahi kufuatilia suala kama hili, msaada Tafadhali
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu cha IFM, niliibiwa vyeti vyangu vya form six, pamoja na Laptop yangu katika begi, nilikuwa naulizia kuwa naweza kupata vyeti vingine kutoka NECTA?? kwa aliewahi kufuatilia suala kama hili, msaada Tafadhali