kesho kutwa
JF-Expert Member
- Dec 7, 2016
- 1,628
- 1,786
Wakuu Leo Nina mwez na nusu Toka nimehamia mjini hapa biashara yangu bodaboda. Naamka asubui pikipiki sioni..
Mara ya mwisho mtu akiamka sa 9 aliiona pikipiki lakini cha Ajabu mlango umevunjwa pia.
Baada ya uchunguzi mfupi tu ni Kua Mwizi alipanda juu ya ukuta akashukia kwa ndani akaichukua pikipiki na kutoka nae getini.
Nje tumekuta kamba ya mnyororo tulihisi iliyotumika kuiburuza pikipiki.
Lakini pia Kuna mtu ndani usiku alisikia mtu anagonga lakini alihisi ni mtu yupo room kwake.
Kama Kuna mtu huku ndani anajua jinsi ya kuitraki pikipiki au namna ya kuipata aje anisaidie niweze ipata maisha yatakuja magumu sana hapa nilipo panga pamejaa simanzi Sana kwa tukio hiki. Sipigi picha kwa sababu za kiu salama lakini geti
limevunjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mara ya mwisho mtu akiamka sa 9 aliiona pikipiki lakini cha Ajabu mlango umevunjwa pia.
Baada ya uchunguzi mfupi tu ni Kua Mwizi alipanda juu ya ukuta akashukia kwa ndani akaichukua pikipiki na kutoka nae getini.
Nje tumekuta kamba ya mnyororo tulihisi iliyotumika kuiburuza pikipiki.
Lakini pia Kuna mtu ndani usiku alisikia mtu anagonga lakini alihisi ni mtu yupo room kwake.
Kama Kuna mtu huku ndani anajua jinsi ya kuitraki pikipiki au namna ya kuipata aje anisaidie niweze ipata maisha yatakuja magumu sana hapa nilipo panga pamejaa simanzi Sana kwa tukio hiki. Sipigi picha kwa sababu za kiu salama lakini geti
limevunjwa.
Sent using Jamii Forums mobile app