Ntate Mogolo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2016
- 403
- 677
Hii ni kwa wale ambao magari yao wameweka tracking devices. kwa sasa, majizi wanatumia vifaa vinavyoweza kuingilia mawimbi ya tracking system ya gari lako. hivyo, huchomeka kifaa chao kwenye hicho kitundu cha sigara kupata umeme wa gari. kama kitakuwa kimezimwa hawawezi kuuingilia mfumo wa tracking ya gari lako.Mkuu nifafanulie hicho cha sigara hicho nielewe somo.