we sio binadamu wa kawaidaMkuu,sahau tu gari yako,kiroho safi.......Sorry though!
Mkuu nimemwambia ukweli......we sio binadamu wa kawaida
Jamaa kachanganyikiwa kabisa, but yawezekana hiyo gari kainunua kwa hawa jamaa wa showrooms. Na wasiwasi wengine siyo waaminifu!! Anyway, mhimu lazima kutuliza akili na maisha lazima yaendelee.