Nimeibiwa gari na majambazi nyumbani, msaada tafadhali

Ntumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.
No way uta-track gari kwa chasis number mzee. Tena gari yenyewe Mitsubushi. Hamna kitu hapo. Ni kufanya juhudi ya kusambaza tu taarifa ipatikane mapema
 
nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.

kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.

kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.

unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.

wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.

mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
Sasa usilazimishe kila mtu awe na primitive na immature mind kama yako. Mtu kakua toka kwao magari yapo mengi tu ya kutosha, ko gari kitu cha kawaida sana yaani. Mimi mtu mzima sasahivi namiliki gari zangu still ntakua na hio akili ya kijinga ya kupiga picha gari? Prestige my foot. Hayo mambo ya kupiga picha na magari ni mambo yenu nyie wasukuma na wamasai baada ya kununua gari.

And by the way jamaa kasema wameiba na simu yake pia kwa hiyo amebahatika kupata picha hiyo iliyokuwa kwenye tablet ya mtoto.

I rest my case!
 
Kampuni gani inafungwa hizo gps.unalipa Laki moja kwa mda gani?tuelimishe tafadhali
Hakuna GPS hapo ya laki. Atleast upate ya kuanzia 200k hapo unaweza ukasema kweli una gps ya kutegemea ila sio geresha hizo za 100k
 
Fvck you.
.
giphy.gif
 
Sasa usilazimishe kila mtu awe na primitive na immature mind kama yako. Mtu kakua toka kwao magari yapo mengi tu ya kutosha, ko gari kitu cha kawaida sana yani. mimi mtu mzima sahv namiliki gari zangu still ntakua na hio akili ya kijinga ya kupiga picha gari? Prestige my foot. Hayo mambo ya kupiga picha na magari ni mambo yenu nyie wasukuma na wamasai baada ya kununha gari.
.
giphy.gif
 
Kama ni gari ndogo ndogo tunaweka begani tunaondoka nayo .

Anyway, tukirudi kwenye mada kwanza nampa pole madau aliyeibiwa. Inauma sana jasho lako la miaka kadhaa kupotea ndani ya dakika kadhaa.
Chakufanya: Omba msaada kwa jiirani wa karibu ambae amefunga cctv camera kwenye njia zinazoeelekea kwako. Hii itakupa picha kuwa ilielekea upande gani. Kisha anza kufuatikia upande huo ukiwaulizia walinzi wa magetini wa usiku. Kama ulikuwa na simu ndani ya gari au kama waliiba simu, ni starting point nzuri sana kujua ilipo au wahusika.
Kama walikuja na funguo zao, itakuwa walichongesha copy ya funguo zako na hao watakuwa ni watu wa gereji au carwash iliyo maeneo ya karibu na kwako(wanaofahamu unapoishi).
Kama una mlizi au kuna kijana alikuwa mfanyakazi wako na ukamfukuza au akaacha kazi kamata huyo abanwe vizuri.
Kama hujuwepo nyumbani wakati tukio linatokea, chunguza uliokuwa nao au anayefahamu ulikuwa wapi, inawezekana aliuza ramani.
Ashasema alitoa funguo in gun point kuwapa majambazi.
 
Hata usijisumbue na huyo mzee anaekwambia huwa anazima switch ya mafuta ukiwekewa pipe kichwan unanyoosha maelezo had ulipoficha kadi yako ya clinic ukiwa mdogo
hii ni hatari sana,unaona kuna uhitaji wa kujipendekeza kwa kaka jambazi
 
Duh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....

Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.

Ufunguo uliweka wapi?!

Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!

Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.
Wezi original wa magari hawasubiri funguo yako wakatoe copy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom