No way uta-track gari kwa chasis number mzee. Tena gari yenyewe Mitsubushi. Hamna kitu hapo. Ni kufanya juhudi ya kusambaza tu taarifa ipatikane mapemaNtumie chases no. Yake na laki 2 tu baada ya nusu ntakwambia kko wapi.
Sasa steering lock si inatolewa. Ile sio security mkuuPole sana mkuu....kwanini hukuweka steering lock?....halafu hayo maboya yanakujaga kamili na wese ya kutosha na wanawekea kule fuel pump kwa lita tano tano
Sasa usilazimishe kila mtu awe na primitive na immature mind kama yako. Mtu kakua toka kwao magari yapo mengi tu ya kutosha, ko gari kitu cha kawaida sana yaani. Mimi mtu mzima sasahivi namiliki gari zangu still ntakua na hio akili ya kijinga ya kupiga picha gari? Prestige my foot. Hayo mambo ya kupiga picha na magari ni mambo yenu nyie wasukuma na wamasai baada ya kununua gari.nilichukulie vyovyote vile uwezavyo, i don't care. nasisitiza hii ni chai.
kama sio chai kwanini picha ipo pixelated (number plate haionekani)?.
kwanini ameshindwa ku provide two or three pictures of his care taken from different angles?.
unataka kuniambia kwa mda wote ambao amekuwa anamiliki hilo gari, alibahatika kupiga picha moja tu?. i can't buy it?.
wabongo tunajuana, gari is one of a prestige item for someone who owns it, mara nyingi tunapiga nayo picha. mimi k-vitz changu nishakipiga picha sana, picha zake zimejaa kwenye gallery yangu na nyingine zipo katika kurasa zangu za mitandao ya kijamii.
mwambie huyo jamaa yako asituchulie sisi watoto.
Hakuna GPS hapo ya laki. Atleast upate ya kuanzia 200k hapo unaweza ukasema kweli una gps ya kutegemea ila sio geresha hizo za 100kKampuni gani inafungwa hizo gps.unalipa Laki moja kwa mda gani?tuelimishe tafadhali
.Fvck you.
.Sasa usilazimishe kila mtu awe na primitive na immature mind kama yako. Mtu kakua toka kwao magari yapo mengi tu ya kutosha, ko gari kitu cha kawaida sana yani. mimi mtu mzima sahv namiliki gari zangu still ntakua na hio akili ya kijinga ya kupiga picha gari? Prestige my foot. Hayo mambo ya kupiga picha na magari ni mambo yenu nyie wasukuma na wamasai baada ya kununha gari.
Ashasema alitoa funguo in gun point kuwapa majambazi.Kama ni gari ndogo ndogo tunaweka begani tunaondoka nayo .
Anyway, tukirudi kwenye mada kwanza nampa pole madau aliyeibiwa. Inauma sana jasho lako la miaka kadhaa kupotea ndani ya dakika kadhaa.
Chakufanya: Omba msaada kwa jiirani wa karibu ambae amefunga cctv camera kwenye njia zinazoeelekea kwako. Hii itakupa picha kuwa ilielekea upande gani. Kisha anza kufuatikia upande huo ukiwaulizia walinzi wa magetini wa usiku. Kama ulikuwa na simu ndani ya gari au kama waliiba simu, ni starting point nzuri sana kujua ilipo au wahusika.
Kama walikuja na funguo zao, itakuwa walichongesha copy ya funguo zako na hao watakuwa ni watu wa gereji au carwash iliyo maeneo ya karibu na kwako(wanaofahamu unapoishi).
Kama una mlizi au kuna kijana alikuwa mfanyakazi wako na ukamfukuza au akaacha kazi kamata huyo abanwe vizuri.
Kama hujuwepo nyumbani wakati tukio linatokea, chunguza uliokuwa nao au anayefahamu ulikuwa wapi, inawezekana aliuza ramani.
We ni mjinga mmoja tu hivi. You aint smart wala nini. Unazuga much-know sana yani. Condom ingefaa sana kutumika asee
Yametimia umekula ban shubaaaamit
hii ni hatari sana,unaona kuna uhitaji wa kujipendekeza kwa kaka jambaziHata usijisumbue na huyo mzee anaekwambia huwa anazima switch ya mafuta ukiwekewa pipe kichwan unanyoosha maelezo had ulipoficha kadi yako ya clinic ukiwa mdogo
"majambazi wenye sare"Wazee ni akina nani?
Sawa mkuu andaa kilainisho ngoja tuagize karanga za kutoshaWakikamatwa naamuru wafirwxxx tumechoka hawa wangese.
GPS bei yake ni $20-50 tena zinapiga kazi vizuriHakuna gps hapo ya laki. Atleast upate ya kuanzia 200k hapo unaweza ukasema kweli una gps ya kutegemea ila sio geresha hizo za 100k
.Yametimia umekula ban shubaaaamit
Wezi original wa magari hawasubiri funguo yako wakatoe copyDuh aiseee pole sana. I hope umeshatoa taarifa kitu cha polisi na tayari wameshaweka macho maeneo yyote ambayo gari inaweza pitishwa ndani ya muda huu.....
Unaweza tupatia details zaidi kuwa gari ulipaki wapi katika hilo eneo, wewe ulikuwa wapi na ilichukua muda gani kugundua umeibiwa.
Ufunguo uliweka wapi?!
Ndani ya hizi siku kadhaa nyuma ni maeneo gani uliachia ufungua kwa mtu yaani funguo hukuwa nazo mikononi mwako ?!
Haya maswali yatatoa mwanga tujue namna ya kukushauri cha kufanya.