Mathanzua
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 15,844
- 20,688
Sasa mkuu hata mada inayoweza kukufanya ujiajiri huielewi,unang'ang'ania ajira ya serikali/ mashirika/watu binafsi,hiyo ajira ukipewa utaiweza kweli?I think I can't help you.Wewe una reflect the truth about the following report:Wewe jamaa unapojifanya kutoa Hoja ujue na jinsi ya kuitetea sio unaulivya maswali unaanza blablaaa sasa ndio unaandika nini.
Jamaa kakuuliza swali Timamu unarukaruka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Quality of Graduates in Africa
A survey by the Inter-University Council for East Africa revealed some stark and disturbing facts
www.insidehighered.com