Tuttyfruity
JF-Expert Member
- Dec 3, 2017
- 2,405
- 6,281
aiseeHumu jf Kuna watu waongo waongo sana
Guys, tusipende kuwa tunatoa majibu ya wima as if unamjua mtu maisha yake, mtu amekwambia ndio kwanza alikuwa amemaliza masomo yake, sasa unasema ajiajiri, unajua kuanzisha shughuli binafsi kunahitaji pesa ya mtaji, na kama angekuwa nayo unadhani angeenda kufanya hizo kazi ?Kama umeelimika vya kutosha na hutaki hiyo kazi, kwa nini usijiajiri mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jipe moyo, fanya kazi hiyo kwa bidii na umtumainie Mungu, ipo siku utapata walau pesa kidogo ukaanzishe shughuli yako binafsiKweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Pacha wangu anafanya kazi hiyo ya kuuza chai na maandazi mwaka wa nne huu toka 2015 amalize chuo. Bora hiyo yako pengine ina malipo makubwa kidogo kuliko yeye maana yeye anapata faida Tsh. 150.000 kwa mwezi.Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
UNGEKUWA KARIBU NINGEKUVUTA PUA KAMASI ZITOKE LABDA UTAELEWA. MTU KAKUAMBIA AMEFANYA MPAKA KAZICYA ULINZI UNAELEWA WANALIPWA SHIiingapi? HUKO KWA CHAI NI HIVO HIVO HIYO KUJIAJIRI MTAJI ATAUPATAJE? LABDA WEWE U MMOJAWAPO WALIOKUWA NA WAZAZI WENYE NAFASI. Wenye watoto wanaosota nyumbani na digrii zao mpaka phd wanaelewa huzuni hii. Saa nyingine unasema ewe MUNGU NI KWA NINI SIKUELEWA MAPEMA NIKAPOTEZA MAMILIONI YOTE HAYO KUMSOMESHA halafu amerudi kuja kuniomba NAULI, hela ya nguo nk? NINGEMFUNGULIA MRADI NA HIZO HELA. Nahisi itafika kipindi watoto watakataa kusoma wafanye SHUGHULI ZINGINE za kujiendeleza mapema. Nafahamu vijana wana masters na phd wanasota.Kama umeelimika vya kutosha na hutaki hiyo kazi, kwa nini usijiajiri mwenyewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
kama umesomea digrii ya ualimu kazi waliyokupa ni sahihi
unawaelimisha watu chai kuwa iko tayari njooni mnywe
Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Hako kadegree kamoja unatoka povu hivyo.
Mzee wangu mkubwa ni Profesa ila kakosa kazi kwa sasa ni dalali wa nyumba.
H
Ahaha tangu utunge ile story yako ya kutoka Kigoma kwenda Dar kutafuta maisha,siwezi amini ukisemacho.
H
Ahaha tangu utunge ile story yako ya kutoka Kigoma kwenda Dar kutafuta maisha,siwezi amini ukisemacho.
Inaonekana hujaelewa elimu ni nini.Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Kweli wakuu elimu bila pesa ni useless tu,
Leo hii mimi naandalia watoto wadogo wa certifacete nawaandalia chai mezani mimi? Yaani nkuchu nkunchu eti nawaletea vikombe kabisa eti karibuni chai tayari!
Mimi huyu naandaalia watu chakula mezani mimi huyu?
Nilimaliza shahada ya ualimu nikaingia JKT nako mambo yalienda kinyume. Tuliporudishwa home nikaomba kazi kampuni ya ulinzi ya Gardaward. Malipo yao upuuzi tu kazi ngumu nikapiga chini.
Sasa hivi nimepata shirika linadili na mambo ya afya kwenye refugees camp. Yaani position niliyowekwa ni kituko
Yaani mimi nawaandalia watu chai mimi? Kabisa nawaletea mezani wanywe wakishiba nikatoe vyombo!
Watu wenyewe madogo tu wa Certificate za Nursing, Pharmacy kweli kabisa jamani ndugu zangu
Dah basi bwana ngoja nikomae
Namchukia sana Rais Magufuli niseme waziwazi tu!
Any way ngoja nipumzikepo kidogo hapa nasubiri waivishe cha mchana nikawaandalie wadogo zangu chakula mezani waje wale.
Marehemu Ali Mufuruki alitupa rai, akasema kwa wale wanaojiona wasomi, wasione shida kufanya kazi wanayofikiri iko chini ya usomi wao na uwezo wao, ilimradi iwe halali na inaleta kipato, na waitumie hiyo kazi kujiinua mpaka wapate uwezo wa kufanya wanachotaka.Hako kadegree kamoja unatoka povu hivyo.
Mzee wangu mkubwa ni Profesa ila kakosa kazi kwa sasa ni dalali wa nyumba.