Nimehudhuria ndoa 12 za ndugu zangu waislamu ndani ya wiki mbili, kunani jamani mbona kuoana hovyo

Ilikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.

Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.

Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...

Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Ungewauliza waliokualika ungepata jibu sahihi,ukituuliza sie hatuwezi kukusaidia,hatukuwepo kwenye hizo harusi
 
Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!

Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
 
Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!

Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
 
Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!

Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
Ukisikiaaaa paaaaaaaa ndukiii
 
Mkuu naona watu wanarukaruka na kuficha ukweli. Kipindi cha ramadhani tunaepuka zinaa hvyo inashauriwa kama huwez jizuia kwa kipindi cha mwez mtukufu ni heri uoe tu na kwa kuwa ndoa zetu talaka ruksa, bas after a month utaona talaka za mpigo.. Huu ndo ukweli, na kama huamin subiri ramadhani iishe. Ila ni jambo la heri kwa kuwa tunakwepa zinaa.
 
Mkuu naona watu wanarukaruka na kuficha ukweli. Kipindi cha ramadhani tunaepuka zinaa hvyo inashauriwa kama huwez jizuia kwa kipindi cha mwez mtukufu ni heri uoe tu na kwa kuwa ndoa zetu talaka ruksa, bas after a month utaona talaka za mpigo.. Huu ndo ukweli, na kama huamin subiri ramadhani iishe. Ila ni jambo la heri kwa kuwa tunakwepa zinaa.
Shukuria maalimu.
 
Ilikuwa ni mwendo wa chai viandazi na vigodoro mtindo mmoja... Yaani hata hapa naandika nimetoka kugonga biriani la kuku kuna maalimu mmoja kuchukua jiko la pili leo.

Ninaposema ndoa kumi na mbili namaanisha waungwana..... Yaani ikitoka mtaa huu ni mtaa wa pili.

Mangi imebidi nijiulize kunani jamani mbona kuoana huku sikuwahi kushuhudia??? Na hizo ni nilizoalikwa tu, ukipita mtaani unakutana na maturubali na mziki wa kigodoro kila kona...

Jamani ng'iki mbona hivi ndugu zangu waislamu, kunani???
Ungeanza kutoa ufafanuzi zile za mwezi wa kumi na mbili ndio uhoji hizi
 
Mkuu naona watu wanarukaruka na kuficha ukweli. Kipindi cha ramadhani tunaepuka zinaa hvyo inashauriwa kama huwez jizuia kwa kipindi cha mwez mtukufu ni heri uoe tu na kwa kuwa ndoa zetu talaka ruksa, bas after a month utaona talaka za mpigo.. Huu ndo ukweli, na kama huamin subiri ramadhani iishe. Ila ni jambo la heri kwa kuwa tunakwepa zinaa.
Wew talaka hata mwenyez Mungu hataki kulisikia neno hilo
 
Mimi huwa Najiuliza Ndugu zetu Wakristo wanawezaje kubariki Ndoa ambayo haipo wala haijafungwa!

Mkikaa na kuzaa watoto mkiwa mnazini mnasema mnaenda kubariki Ndoa, unabariki Vipi ndoa ambayo haijawahi kufungwa?
Kitendo cha kujamiiana tayari ni ndoa. Tatizo inakua haina baraka za Mungu, ndipo wanapoenda kuibariki.
Umeelewa eeeh.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom