Flex J
Member
- Jul 25, 2018
- 51
- 42
Heshima kwenu wana jamii forum Mimi ni kijana wa umri miaka 24 nimehitimu diploma ya utunzaji wa kumbukumbu ila kwa sasa sina kazi ila nipo tayari kufanya kazi yoyote maana kukaa bila kazi na umri unaenda lengo langu nipate kazi yoyote ili niweze kupata anagalau mtaji niweze kuanza kupambana kama mtoto wa kiume maana ajira kwa sasa ni ngumu na pia nahisi mpaka uwe na system huko juu maana nilishawai kufanya usaili halmashaur na kufanikiwa kupita nikasaini na mkataba lakini nafasi alipewa mtu mwingine nimefuatilia mpaka nimekata tamaa nimebaki na karatasi ya ruhusa mkononi hivyo naona ni muda wa kupambana ili nipate angalau mtaji ili nipambane. Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu pia ushauri wenu ni muhimu zaidi maana siku zote ushauri ndo umfanya mtu akili itanuke.